Hata mimi huwa nawashangaa alafu linaonekana yan nikiona mwanaume kavaa hivyo hata hamu inaniisha na huwa nakata stimu balaaa. Na mtu wa hivyo haezi nigusa hata mkono wangu maana najua moja kwa moja kuwa huyu mtu ni mchafu. Wanaume mbadilike
Hahaha alete picha,Pia bukta haina uhusiano wowote na uchafu.Hilo bukta anavaa ndani ya suruali au inakuwaje!! Maana sijawahi ona hiyo!!
Umaarufu wa Jf.Umaarufu wa wawapi eti mkaka!!!
Nimekuhamu ujue
HahahaHahaha alete picha,Pia bukta haina uhusiano wowote na uchafu.
Bwana angi hawezi kuvaa hizo nailoni mkuu boxer namnunuliaa mwenyewe ,namfuliaa mwenyewe na nampangiaa ya kuvaaa mwenyewe so hawezi kujijaladiaa mwishowe anuke berries bureWe si ulisema umeolewa sasa kwanini usimnunulie mmeo hizo boxer unazotaka
Ayo matakataka umeyaona wapi sasa au zinavaliwa juuBwana angi hawezi kuvaa hizo nailoni mkuu boxer namnunuliaa mwenyewe ,namfuliaa mwenyewe na nampangiaa ya kuvaaa mwenyewe so hawez kujijaladiaa mwishowe anuke berries bure
Huyo atakua na ajenda yake ya siri kwa wanaume.Hahaha
Mrembo hataki bukta
Achana nao mkuu labda watakuwa mabachelor kama Mimi hawajapata wa kuwaweka sawa m mwenyewe navaaga Mara moja moja sababu zile ziko salama izo nyingine ukilowa jasho ukikaa vibaya zinatatukaKwenye mihangaiko ya duniaa alafu nafanya kazi na wanaume ofisini mara kibao mashart yanachomoka unakuta mtu kavaa mpensi mara ya kijani,njano saa nyingine mpka la purple yaan nachukiaa balaaa
Haulipwi aiseeHivi ukiwa maarufu jf unalipwaa eeehe??hebu niambiee kipenzi nijueee