Hivi inakuwaje mwanaume unavaa bukta ya kuchezea mpira ndani ya suruali badala ya boxer?

Hivi inakuwaje mwanaume unavaa bukta ya kuchezea mpira ndani ya suruali badala ya boxer?

Wenzie walikuja na kasi hii siku zikawekea picha hapa hapakukalika.


Kuna watu wanapenda attention sana
Sipost kwa sababu nataka umaarudu napost kilichopo kwenye my mind muda huo so sijaona wa kunistopishaa kupost,ntapost pale ntakapojisikiaa na nawezaa kukaa hata mwaka bilaa kupost so naombeni mnivumilieee tu as longer as sijajakumtafuta mtu niacheni tu ukiona sijapost juaa nimetightiwaa na mambo ya kikazi na shemeji yenu lol
 
Ilo jambo ni la vijana wa 1989 kurudi nyuma ndio wenye pgo hzo tafuta vjana wa 1990 nakuendelea...
 
Utajistopisha mwenyewe tu 40 yako ikifika

Itafika kwa hao wanaokujaa kutafuta wa kuwatafutaa ila kama yupo hapa kwa ajili ya kujifurahisha mwache anyamazishwe ila upande mwingine najiamini vibayaa mnoo yaaan vibayaaa mno basi tu
 
Shoga si umnunulie zile unazozipenda mpe baby wako kama zawadi, mwambie mm napenda ukivaa hizi.
 
Shoga si umnunulie zile unazozipenda mpe baby wako kama zawadi, mwambie mm napenda ukivaa hizi.
Shosti angekuwa shemejiyo nshamkimboza mbio huyo ni mtu tu wa duniani katika mihangaiko ya duniaa
Shemeji yako namnunuliaa,namfuliaa na nampangiaa ya kuvaa
 
Si wenye kuvaa Simple bukta (zenye cotton materials)
Au boxer mama....
Na kama vp si ununulie huyo mtu pukta unazopend wew

Wangu namnunulia,namfuliaa na kumpangiaa ya kuvaaa mi nimezungumizaa in general
 
Shosti angekuwa shemejiyo nshamkimboza mbio huyo ni mtu tu wa duniani katika mihangaiko ya duniaa
Shemeji yako namnunuliaa,namfuliaa na nampangiaa ya kuvaa
[emoji23][emoji23][emoji23] kumbe ni danga sho....hapo pambana na hali yako mkuu.
Sipati picha na joto hili la Dar ananukaje hizo nyanya[emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23] kumbe ni danga sho....hapo pambana na hali yako mkuu.
Sipati picha na joto hili la Dar ananukaje hizo nyanya[emoji23]
Wanaume hawajui kuvaa mpensi nyanya huwa zinanukaa wanaona ndo wanapata upepo shoo acha nipambane
 
Back
Top Bottom