Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sipost kwa sababu nataka umaarudu napost kilichopo kwenye my mind muda huo so sijaona wa kunistopishaa kupost,ntapost pale ntakapojisikiaa na nawezaa kukaa hata mwaka bilaa kupost so naombeni mnivumilieee tu as longer as sijajakumtafuta mtu niacheni tu ukiona sijapost juaa nimetightiwaa na mambo ya kikazi na shemeji yenu lolWenzie walikuja na kasi hii siku zikawekea picha hapa hapakukalika.
Kuna watu wanapenda attention sana
Ulienda wapi we mtuUmaarufu wa Jf.
Nimekuhamu sana
HahahaHuyo atakua na Ajenda yake ya siri kwa wanaume.
Nipo mama nimekuja namtumbo hata sijakuonaUlienda wapi we mtu
Shosti angekuwa shemejiyo nshamkimboza mbio huyo ni mtu tu wa duniani katika mihangaiko ya duniaaShoga si umnunulie zile unazozipenda mpe baby wako kama zawadi, mwambie mm napenda ukivaa hizi.
HahahaNipo mama nimekuja namtumbo hata sijakuona
Si wenye kuvaa Simple bukta (zenye cotton materials)Sasa mimi watoto wa 90 wa nini???
[emoji23][emoji23][emoji23]nikija tena nitakutafutaHahaha
Nilienda ule upande waliokuwa wanakimbia bwana!!! Ila niko namtumbo tayari
[emoji23][emoji23][emoji23] kumbe ni danga sho....hapo pambana na hali yako mkuu.Shosti angekuwa shemejiyo nshamkimboza mbio huyo ni mtu tu wa duniani katika mihangaiko ya duniaa
Shemeji yako namnunuliaa,namfuliaa na nampangiaa ya kuvaa
asee hapo jibu analo amalizie tu hzo .........Weee unavaaga chupi tu km vazi landan???.
Kama unavaa na taiti ,basi uzi wako hauna maana.
Nkm unavaa chupi tu ,basi weee ni ........
Mie mzima kabisaaa...[emoji23][emoji23][emoji23]nikija tena nitakutafuta
Mzima lakini?
Wanaume hawajui kuvaa mpensi nyanya huwa zinanukaa wanaona ndo wanapata upepo shoo acha nipambane[emoji23][emoji23][emoji23] kumbe ni danga sho....hapo pambana na hali yako mkuu.
Sipati picha na joto hili la Dar ananukaje hizo nyanya[emoji23]