mshipa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 12,253
- 22,843
Nilikuja kweli namtumbo sema sikukaa sanaMie mzima kabisaaa...
Hivi ulikuja kweli na ukaondoka???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikuja kweli namtumbo sema sikukaa sanaMie mzima kabisaaa...
Hivi ulikuja kweli na ukaondoka???
Mi nkastuka nikasema kuna nini tena maandamano yameahirishwaa nini.Hivi inakuwaje mtu unaandika uzi na underline?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nalo nenoJamani katika kitu kinachoniuzi ni kumuona mwanaume kavaa li bukta la kuchezea mpira ndani ya suruali yaan nakereka kuliko maelezo,
Just imagine unakutana na mkaka kavaa kapendeza yaan yupo smart kuliko maelezo alafu kavaa libukta la mpira hivi wenzangu mnajisikiaje???
Kwanini mtu usivae boxer yako nzuri ya cotton uvae ndo utoke zako??kuliko kuvaa hiyo mibukta inawafanya mtune utasema mmebeba mafurushi,hebu acheni hiyo tabiaaa bwana,huo ni uchafu ,usmart wa mwanaume upo kwenye boxer na sio kuvaa mabukta kama mnaenda mpirani,,
Alafu hamna kitu kizuri na kinachopendeza kama kumkuta bwana ako kavaaa boxer yaan unakuwa hata comfortable kumvuaa nguo sasa ukikuta mtu kavaa mipensi stimu zote zinakata
[emoji3][emoji3] msisitizoHivi inakuwaje mtu unaandika uzi na underline?
Agiza chochote kwa mangi hapo nakuja lipiaWeee unavaaga chupi tu km vazi landan???.
Kama unavaa na taiti ,basi uzi wako hauna maana.
Nkm unavaa chupi tu ,basi weee ni ........
Itakuwa kavaa nyanya pensi na surualiHivi inakuwaje mtu unaandika uzi na underline?
[emoji23] smg(msg) yako imefika na sauti.usitupangie
JamaniNilikuja kweli namtumbo sema sikukaa sana
Posta ya hapa Kibondo,sijaziona,Mbona kuna boxer nzuri saana jaman large na Xxl alafu nyepesi tu pale postaa kuna duka la boxer kibao alafu bei rahisi tu
[emoji23][emoji23][emoji23]Jamani
Zambarau..uwiiMwanaume unakuta kavaa smart balaa ila hilo lipensi alafu bora liwe jeupe unakuta lakijan au la njano pooooh
Hata mimi huwa nawashangaa alafu linaonekana yan nikiona mwanaume kavaa hivyo hata hamu inaniisha na huwa nakata stimu balaaa. Na mtu wa hivyo haezi nigusa hata mkono wangu maana najua moja kwa moja kuwa huyu mtu ni mchafu. Wanaume mbadilike
Wa miataani hao unakuta mashine inaninginiaa kama mtu aliye jinyongaa yaaan sipendi jamani basi tu