yaani huu uzi nimeupenda xana...nakereka kuona uchafu huo machoni mwangu....watu tu hawaelimiki had sasaNivae ti
Hivi mpkaa miaka hii kuna wanawake wanavaa taiti??labda nikiwa naenda gym au kukimbiaa weeknd lakin kitu chupi babuu ww
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yaani huu uzi nimeupenda xana...nakereka kuona uchafu huo machoni mwangu....watu tu hawaelimiki had sasaNivae ti
Hivi mpkaa miaka hii kuna wanawake wanavaa taiti??labda nikiwa naenda gym au kukimbiaa weeknd lakin kitu chupi babuu ww
hahahaaaaaa...km vile nakuonaYaaan alafu unakutaa limevaliwaa la kijani au la njano ptuuu
Na kajiunga juzi (kama sio kuhama id)We naona umekuja kasi sana. Hivi mmeona kuja na mada za kuponda wanaume ndio mnapata umaarufu
Aisee ndo maana Dunia ni nzuri hivi ilivyo kutokana na tofauti zetu ktk mambo mbalimbali. Binafsi sipendi kabisa kivaa boxer,kwanza inabana,inabana p.u.mb...u na dushe...!! Mzigo ukidindaa ndo utajuta kabisaa..
Sababu nyingine,joto la dar,yaani inabidi uwe unatembea na boxer za akiba,kwa joto la dar,ukivaa boxer asbh mpaka jioni,lazma inuke kwa jasho!!
Lkn pia pensi inafaida,unaweza kuvua na kutoka nje hata km upo lodge na mkawa mnapunga upepo. Lkn ukiwa na boxer,utalazimika kuvaa suruali hata km unaenda kuagiza maji tu...
Uwa unawavua? Au unawa scan?Mbona wapo kibao jaman yaan wengi tu unakuta mtu kapendezaa alafu ndani kavaa bonge la bukta ndani ya suruali
HahahaaAnafanyia mazoezi aliyojifunza ya computer
Mima nafanya kazi asilimiaa kubwa na wanaune so muda mwingi nakuwa nao na wanaume unajuaa wanavyopenda kujiachiaanmkiwa ofisini mara kibao wanachomoleaaa wakati wa lunch na nayaonaa hayo mapensi nyanya yenuUwa unawavua? Au unawa scan?
Sijazungumziaa mambo ya mazoezini nazungumziaa mambo ya maisha ya kilaa siku alafu mimi sio mwanaumeKwa hiyo unapokwenda mazoezini kazi yako ni kuchangamsha mwili au kuchunguza wanaume wenzako wamevaa nini?
Na aliyekuambia ya kuwa boxer ni nzuri katika michezo huyo anahila anasubili uchubuke akupake dawa
Na sijakuforce coz siwez kujaa kwako nikulazimishe bt ukionaa iko poaa take it kama haikushawishi leave it ilaa mimi kama msichana ninayejielewaa natambuaa kuwa hatupendi kuona mnavaa hayo mautumbo kwenye sehemu ambayo sio husikia kama ni kubanwa haimake hata senseujinga ni pale unapodhani wew uko sahihi (katika upumbavu) kuliko wengine,upumbavu ni kufanya kuwa mawazo yako ni universal;
makofi kwako tafadhali....acha povu liwatoke tutalowekea nguo keshoNa ndo maana wamepanick mtu unakuta upo naye chumbani mpensi unaninginiaa alafu umelegea kama utumbo khaaa,boxer ina raha yake jaman