Hivi inakuwaje mwanaume unavaa bukta ya kuchezea mpira ndani ya suruali badala ya boxer?

Hivi inakuwaje mwanaume unavaa bukta ya kuchezea mpira ndani ya suruali badala ya boxer?

Jamani katika kitu kinachoniuzi ni kumuona mwanaume kavaa li bukta la kuchezea mpira ndani ya suruali yaan nakereka kuliko maelezo,
Just imagine unakutana na mkaka kavaa kapendeza yaan yupo smart kuliko maelezo alafu kavaa libukta la mpira hivi wenzangu mnajisikiaje???
Kwanini mtu usivae boxer yako nzuri ya cotton uvae ndo utoke zako??kuliko kuvaa hiyo mibukta inawafanya mtune utasema mmebeba mafurushi,hebu acheni hiyo tabiaaa bwana,huo ni uchafu ,usmart wa mwanaume upo kwenye boxer na sio kuvaa mabukta kama mnaenda mpirani,,
Alafu hamna kitu kizuri na kinachopendeza kama kumkuta bwana ako kavaaa boxer yaan unakuwa hata comfortable kumvuaa nguo sasa ukikuta mtu kavaa mipensi stimu zote zinakata
Acha ukorofi..[emoji53] [emoji53]
 
Mimi nazifaa Sana tena mi ni mshabiki mzuri wa Adidas hizo bukta ninazo mpaka kero
 
Nyie visichana mliovunja sinia enzi za JK mna taabu sana!

Watu tunapiga pensi ya jeans iliyokatwa, we unasema bukta... aaaaargh!!
 
Aisee ndo maana Dunia ni nzuri hivi ilivyo kutokana na tofauti zetu ktk mambo mbalimbali. Binafsi sipendi kabisa kivaa boxer,kwanza inabana,inabana p.u.mb...u na dushe...!! Mzigo ukidindaa ndo utajuta kabisaa..

Sababu nyingine,joto la dar,yaani inabidi uwe unatembea na boxer za akiba,kwa joto la dar,ukivaa boxer asbh mpaka jioni,lazma inuke kwa jasho!!

Lkn pia pensi inafaida,unaweza kuvua na kutoka nje hata km upo lodge na mkawa mnapunga upepo. Lkn ukiwa na boxer,utalazimika kuvaa suruali hata km unaenda kuagiza maji tu...
Hili.nalo.neno mkuu.. Ila kiafya naona kama bukta hazijakaa vema ... Maana hill jasho na fukuto havitoki ni kama tunavitunza ndani.. Na sidhani wanavibukta kama wana utaratibu wa kubadilisha every other day..

Kwa nchi hizi za joto inabidi kuacha mizigo ijinafasi.. Kama wahindi na wapakistani wana Yale mavazi yao asilia ..au watu wa Pwani wana msuli ni kulingana na mazingira yao.. Joto..sasa sisi tunafanya vice versa.. Tunagonga bukta ndani ya suruali ya kadet/kodrai hahaha

Hata hivyo kuna utaratibu wa uvaaji..no matter how insignificant this is..bado inatosha kuelezea umma wenu/wetu umefikia wapi kwenye kustaarabika. Kufuata sheria za mavazi ni muhimu sana. Ni kama zile zama kina atupele walikuwa wanavaa nguo za vile vitenge vyao vya kung'aa sana kama vimepakwa mafuta na njumu za Mpira.. Kuvaa wamevaa ila hakuna wanalolijua juu ya ustaarabu..hata kama walikuwa wapole na wanyenyekevu 🙂

Kuna haja ya kuelekezana ..japo mtoa mada naye kaja kutulaumu mno..angetuambia tu kwann sio vema. Mbn wengine tumebadilika kirahisi tu baada ya kuambiwa na kuelimishwa.
 
Hili.nalo.neno mkuu.. Ila kiafya naona kama bukta hazijakaa vema ... Maana hill jasho na fukuto havitoki ni kama tunavitunza ndani.. Na sidhani wanavibukta kama wana utaratibu wa kubadilisha every other day..

Kwa nchi hizi za joto inabidi kuacha mizigo ijinafasi.. Kama wahindi na wapakistani wana Yale mavazi yao asilia ..au watu wa Pwani wana msuli ni kulingana na mazingira yao.. Joto..sasa sisi tunafanya vice versa.. Tunagonga bukta ndani ya suruali ya kadet/kodrai hahaha

Hata hivyo kuna utaratibu wa uvaaji..no matter how insignificant this is..bado inatosha kuelezea umma wenu/wetu umefikia wapi kwenye kustaarabika. Kufuata sheria za mavazi ni muhimu sana. Ni kama zile zama kina atupele walikuwa wanavaa nguo za vile vitenge vyao vya kung'aa sana kama vimepakwa mafuta na njumu za Mpira.. Kuvaa wamevaa ila hakuna wanalolijua juu ya ustaarabu..hata kama walikuwa wapole na wanyenyekevu 🙂

Kuna haja ya kuelekezana ..japo mtoa mada naye kaja kutulaumu mno..angetuambia tu kwann sio vema. Mbn wengine tumebadilika kirahisi tu baada ya kuambiwa na kuelimishwa.
Mkuu mtoa mada kazungumzia kukerwa na wanaovaa bukta hajasema anakerwa na wanaume wachafu. Hakuna uhusiano wa kuvaa bukta na uchafu. Mm binafsi sivai kabisa boxer wala chupi...Lkn nna pensi nyingi hata idadi yake siijui.

Kwa maisha ya dar,sifikirii km kuna mtu aliyestaarabika anaweza kuvaa pensi siku 2 mfululizo...mm hata suruali tu na shati siwezi kurudia...Maisha ya dar ya joto kali unawezaje kuvaa shati siku 2 na unapanda daladala si utanuka!??
 
Hata mimi sivaagi hayo mabukta asee,
Najiulizaga wakipata dharura ya dudu kutuna hawaumbuki? Mimi boksa hunisaidia sana kwenye hiyo dharura, japo sa ingine itashindwa kulingana na aina ya suruali niliyovaa
 
Hata mimi sivaagi hayo mabukta asee,
Najiulizaga wakipata dharura ya dudu kutuna hawaumbuki? Mimi boksa hunisaidia sana kwenye hiyo dharura, japo sa ingine itashindwa kulingana na aina ya suruali niliyovaa
Sidhani kama wenye vibamia wanawaza kero kama hiyo yako ya kujishtukiaa dudu kutuna in public
 
Ndo maana kukawepi na size tofauti kuna mpaka xxxl na zipo ambazo ni nyepesi japokuwa za cotton mnajidaigi mnabanwa pumbu wakati vipumbu vyenyewe hata kiganjani huwa havijai msituchoshe na mapensi yenu
Haahaaa..lahaula
 
Mkuu mtoa mada kazungumzia kukerwa na wanaovaa bukta hajasema anakerwa na wanaume wachafu. Hakuna uhusiano wa kuvaa bukta na uchafu. Mm binafsi sivai kabisa boxer wala chupi...Lkn nna pensi nyingi hata idadi yake siijui.

Kwa maisha ya dar,sifikirii km kuna mtu aliyestaarabika anaweza kuvaa pensi siku 2 mfululizo...mm hata suruali tu na shati siwezi kurudia...Maisha ya dar ya joto kali unawezaje kuvaa shati siku 2 na unapanda daladala si utanuka!??
Hapa tutatofautiana plzzzz uwiiiiiiii jaman nilisoma udsm mtu anavaaaa boxer hata more than 3days ukienda kwenye disc mnaishiaa kujipepeaa kisa harufu wanaume wa dar ni wachache saaaana na hao wachache ni hao wanaofanya kazi maofisinj ndo wanaweza kuchange nguo ya ndani kilaa siku wanaune walivyo wavivu kufuaa socks na boxer kurudiana haina shida,dats why mimi wangu huwa namfuliaaa na kumpangiaa namna ya kuvaa week nzima ka sivyo umni balaaaa
 
Sidhani kama wenye vibamia wanawaza kero kama hiyo yako ya kujishtukiaa dudu kutuna in public
Shosti wenye madudu hata huwa hawasemi .....
Kuna zile boxer zipo kama pensi kinachowashinda kuvaa ni nin mpka wanavaa manailoni??
 
usitupangie....
na nyie muache kuvaa chupi mpaka zinatoboka katikati au zinakuwa ngumu....pale kati ka jeans....
 
Wabibi wengi wa vijijini mbona ndo zao kuvaa makaputula ndani ya gauni?
 
hahahah nimecheka kuona mada tuu sasa nimfungua uzi ndio nipo hoi umewaza nini mtoa mada
 
Jamani katika kitu kinachoniuzi ni kumuona mwanaume kavaa li bukta la kuchezea mpira ndani ya suruali yaani nakereka kuliko maelezo embu fikiria unakutana na mkaka kavaa kapendeza yaani yuko smart kuliko maelezo alafu kavaa libukta la mpira hivi wenzangu mnajisikiaje?

Kwanini mtu usivae boxer yako nzuri ya cotton uvae ndo utoke zako?kuliko kuvaa hiyo mibukta inawafanya mtune utasema mmebeba mafurushi, hebu acheni hiyo tabiaaa bwana,huo ni uchafu ,usmart wa mwanaume upo kwenye boxer na sio kuvaa mabukta kama mnaenda mpirani.

Alafu hamna kitu kizuri na kinachopendeza kama kumkuta bwana ako kavaaa boxer yaani unakuwa hata comfortable kumvuaa nguo sasa ukikuta mtu kavaa mipensi stimu zote zinakata
Hujaelimika ndio maana unavaa boxer, mbegu za kiume zinatunzwa kwenye korodani na zinahitaji joto la kadri, wakati Wa joto korodani za mwanaume hushuka Chini ili kubalance joto na wakati Wa baridi hupanda juu ili kubalance joto pia, je mwanaume aliyevaa boxer hiyo automatic mechanism inaweza ikafanyika?, ndio maana mnatuzalia matoto mazezeta kumbe mbegu zishaungua. Halafu unaanza kulalamika watoto Wa siku hizi kumbe wewe mwenyewe ndiye ulisababisha, nyie ndio mnaokimbia masomo ya sayansi shulen mnaenda art, sikulaumu
 
Back
Top Bottom