James88
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 1,700
- 1,761
Hilo bukta anavaa ndani ya suruali au inakuwaje!! Maana sijawahi ona hiyo!!
Ukuje nikuoneshe la kwangu, ni kubwa balaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo bukta anavaa ndani ya suruali au inakuwaje!! Maana sijawahi ona hiyo!!
MmmhUkuje nikuoneshe la kwangu, ni kubwa balaaa
Jamani katika kitu kinachoniuzi ni kumuona mwanaume kavaa li bukta la kuchezea mpira ndani ya suruali yaani nakereka kuliko maelezo embu fikiria unakutana na mkaka kavaa kapendeza yaani yuko smart kuliko maelezo alafu kavaa libukta la mpira hivi wenzangu mnajisikiaje?
Kwanini mtu usivae boxer yako nzuri ya cotton uvae ndo utoke zako?kuliko kuvaa hiyo mibukta inawafanya mtune utasema mmebeba mafurushi, hebu acheni hiyo tabiaaa bwana,huo ni uchafu ,usmart wa mwanaume upo kwenye boxer na sio kuvaa mabukta kama mnaenda mpirani.
Alafu hamna kitu kizuri na kinachopendeza kama kumkuta bwana ako kavaaa boxer yaani unakuwa hata comfortable kumvuaa nguo sasa ukikuta mtu kavaa mipensi stimu zote zinakata
Mtafikia hatua mtake tuwe tunaacha korodani nyumbani ... maana kila siku hiki mara hiki mara kile
mimi ndieUnalia, je na wewe ni mcheza mpira ambaye unavaa jezi (bukta) juu ya nguo za kutokea?
21Sawa, unavaa jezi namba ngapi?
lipia tangazoMbona kuna boxer nzuri saana jaman large na Xxl alafu nyepesi tu pale postaa kuna duka la boxer kibao alafu bei rahisi tu
Wasukuma mkuje mjitetee huku [emoji41]
Unaongea lafudhi ya wapi hiyo ya kuongeza aaaa zisizohitajika? Khaaa!Sipost kwa sababu nataka umaarudu napost kilichopo kwenye my mind muda huo so sijaona wa kunistopishaa kupost,ntapost pale ntakapojisikiaa na nawezaa kukaa hata mwaka bilaa kupost so naombeni mnivumilieee tu as longer as sijajakumtafuta mtu niacheni tu ukiona sijapost juaa nimetightiwaa na mambo ya kikazi na shemeji yenu lol
Yaaaan unakutaa mkaka wa maanaa kavaa kapendeza basi bwana usiombe ainambe au ashilikilie bomba la mwendo kasi khaaa unakuta kavaa mpensi wa kijani unaborekajehahahah nimecheka kuona mada tuu sasa nimfungua uzi ndio nipo hoi umewaza nini mtoa mada