jembe afrika
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,603
- 3,776
Madame itakua huyu jamaa aliyevaa bukta ya michezo alikusugua kisawasawa mpaka ukamchukia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikuwahi kujua wewe ni mwanamkewachambe alafu mibukta ya nailoni ina jasho balaa na ukoko pia
[HASHTAG]#Bujibuji[/HASHTAG] unaitwa hukuBujibuji anavaa kibukta cha jinsi
Mbona kuna boxer over size jaman?? Wengine hata hivyo vya kubanwa hawana
Pole kwa kuvulishwa bukta! Huyo mwanaume atakua msukumaji bila shaka maana kwa ushamba wamezidiJamani katika kitu kinachoniuzi ni kumuona mwanaume kavaa li bukta la kuchezea mpira ndani ya suruali yaan nakereka kuliko maelezo,
Just imagine unakutana na mkaka kavaa kapendeza yaan yupo smart kuliko maelezo alafu kavaa libukta la mpira hivi wenzangu mnajisikiaje???
Kwanini mtu usivae boxer yako nzuri ya cotton uvae ndo utoke zako??kuliko kuvaa hiyo mibukta inawafanya mtune utasema mmebeba mafurushi,hebu acheni hiyo tabiaaa bwana,huo ni uchafu ,usmart wa mwanaume upo kwenye boxer na sio kuvaa mabukta kama mnaenda mpirani,,
Alafu hamna kitu kizuri na kinachopendeza kama kumkuta bwana ako kavaaa boxer yaan unakuwa hata comfortable kumvuaa nguo sasa ukikuta mtu kavaa mipensi stimu zote zinakata
Ndomaana nikasema ,kuvaa chupi tu ,wee nimwanamke fulani sukuma upepo ,, popote ukiinamishwa unabakwa .Nivae ti
Hivi mpkaa miaka hii kuna wanawake wanavaa taiti??labda nikiwa naenda gym au kukimbiaa weeknd lakin kitu chupi babuu ww
na raha kweli maana ujumbe umewagonga mahala pake. li jezi jumlisha fukuto la Dar si mtaka kuivisha hayo mayai yenu muanze kutushughulisha kwa kina dr MwakaYaaaan we achaa tu ....bt cha msingi ujumbe ufike
Kwa hiyo unapokwenda mazoezini kazi yako ni kuchangamsha mwili au kuchunguza wanaume wenzako wamevaa nini?Jamani katika kitu kinachoniuzi ni kumuona mwanaume kavaa li bukta la kuchezea mpira ndani ya suruali yaan nakereka kuliko maelezo,
Just imagine unakutana na mkaka kavaa kapendeza yaan yupo smart kuliko maelezo alafu kavaa libukta la mpira hivi wenzangu mnajisikiaje???
Kwanini mtu usivae boxer yako nzuri ya cotton uvae ndo utoke zako??kuliko kuvaa hiyo mibukta inawafanya mtune utasema mmebeba mafurushi,hebu acheni hiyo tabiaaa bwana,huo ni uchafu ,usmart wa mwanaume upo kwenye boxer na sio kuvaa mabukta kama mnaenda mpirani,,
Alafu hamna kitu kizuri na kinachopendeza kama kumkuta bwana ako kavaaa boxer yaan unakuwa hata comfortable kumvuaa nguo sasa ukikuta mtu kavaa mipensi stimu zote zinakata
Pengine mtu hana pesa ya kununun boxer hivyo usishangae kuona tunavaa sun lg au FekonJamani katika kitu kinachoniuzi ni kumuona mwanaume kavaa li bukta la kuchezea mpira ndani ya suruali yaan nakereka kuliko maelezo,
Just imagine unakutana na mkaka kavaa kapendeza yaan yupo smart kuliko maelezo alafu kavaa libukta la mpira hivi wenzangu mnajisikiaje???
Kwanini mtu usivae boxer yako nzuri ya cotton uvae ndo utoke zako??kuliko kuvaa hiyo mibukta inawafanya mtune utasema mmebeba mafurushi,hebu acheni hiyo tabiaaa bwana,huo ni uchafu ,usmart wa mwanaume upo kwenye boxer na sio kuvaa mabukta kama mnaenda mpirani,,
Alafu hamna kitu kizuri na kinachopendeza kama kumkuta bwana ako kavaaa boxer yaan unakuwa hata comfortable kumvuaa nguo sasa ukikuta mtu kavaa mipensi stimu zote zinakata
ushaambiwa uvae boxer za cotton kubanwa huko vip tena naomba tabia hii ya libukta lako uiache utawapata watt wa uswazi wa mjini utawackia kwenye bomba.Ujui tu ila lazima bidhaa zipate hewa sio kubanwa banwa na boxer ndo mana zinapinda
Unakuta bidhaa haieleweki inaelekea wapi iyo yote coz ya boxer mamaaaa