Hivi inawezakana Mchungaji au Askofu kujinyonga?

Hivi inawezakana Mchungaji au Askofu kujinyonga?

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
21,625
Reaction score
33,688
Salaam, Shalom!!

Kuna wimbi linaendelea kujitokeza la vifo tata kuhusu viongozi wa kiroho.

Miezi kadhaa iliyopita, yaliripotiwa matukio ya Padri kukutwa ameuwawa na kutupwa, wengine wakiuwawa,

Jambo lililonishtua zaidi ni tukio la kujinyonga Askofu Dodoma, tena ndani ya nyumba ya Ibada,kama ilivyoripotiwa na vyombo vya habari.

Nijuavyo Mimi Rabbon, Ili mtu ajinyonge, lazima avamiwe na Pepo wa MAUTI atakayemuongoza kufanya kitendo hicho bila ridhaa yake.

Swali LANGU ni kuwa, Askofu, mtumishi wa Mungu, anayeongozwa na Roho wa Mungu, anayewatia moyo waumini waliovunjika moyo daily, awezaje kuamua kujinyonga?

Source: Millard Ayo, Askofu ajinyonga Dodoma.

Karibuni 🙏.
 
Kwani wao sio binadamu? Hawana moyo wa nyama?
Usidanganyike na Elimu ya physiological, huwa haisaidii ktk baadhi ya masuala.
Umemjibu vyema sana.

Vyeo, Utajiri, umasikini wala Race ya mtu haifanyi Mtu fulani awe na ubinadamu wa kipekee. Sote tunapitia Furaha, Hudhuni na Changamoto kwa kiwango kile kile kama mwanadamu aliyeko duniani.
 
Salaam, Shalom!!

Kuna wimbi linaendelea kujitokeza la vifo tata kuhusu viongozi wa kiroho...
Nani kakwambia askofu anaongozwa na mungu. Hizo huwa ni fix tu. Mfano kakobe alikanyaga na kuchoma rozari takatifu na ikawa ndp mwanzo wa laana mpaka leo hana waumini.

Rozari ni nguvu kubwa ukiidharau unapotea dunia hii. Nawashauri nyote mrudi kanisa katoliki huko kwingine mmepotea mana wanatumia mapepo kububiri kama mwamposa ni swala la mda tu
 
Askofu,padri,shehe,mchungaji,hawa wote ni binadamu kama sisi tulivyo nao wana share yao ya stress na matatizo.Nao pia wana mitihani na majaribu tena makubwa kuliko yetu,cha muhimu tumuombe Mungu tuvuke majaribu yetu salama
 
Nani kakwambia askofu anaongozwa na mungu. Hizo huwa ni fix tu. Mfano kakobe alikanyaga na kuchoma rozari takatifu na ikawa ndp mwanzo wa laana mpaka leo hana waumini. Rozari ni nguvu kubwa ukiidharau unapotea dunia hii. Nawashauri nyote mrudi kanisa katoliki huko kwingine mmepotea mana wanatumia mapepo kububiri kama mwamposa ni swala la mda tu
Rozali imeandikwa kifungu Gani ndani ya BIBLIA?
 
Umemjibu vyema sana.
Vyeo, Utajiri, umasikini wala Race ya mtu haifanyi Mtu fulani awe na ubinadamu wa kipekee. Sote tunapitia Furaha, Hudhuni na Changamoto kwa kiwango kile kile kama mwanadamu aliyeko duniani.
Ndo maana ake.
 
We si unaona watu wanakosa mwelekeo wa maisha baada ya kudharau rozari. Angalia kakobe siku si nyingi ataokota makopo. Rozari iliachwa na bikra maria mama wa yesu pale aliposema vizazi vyote wataniita mbarikiwa
Hujanijibu rozali imeandikwa wapi, kifungu Gani?
 
Hujanijibu rozali imeandikwa wapi, kifungu Gani?
Elew maama ya neno rozali kwanza kabla ya kuuliza. Shule muhimu sana. Elimu zenu hizo za kufunuliwa hiwezi kuelewa. Chimba uelewe. Ndo mana mapadre wanasoma 16 years baada ya form six ili kuw knowlegeable siyo hao akina kakobe au mwamposa wa elimi ya hapa na pale kiujanja janja
 
Elew maama ya neno rozali kwanza kabla ya kuuliza. Shule muhimu sana. Elimu zenu hizo za kufunuliwa hiwezi kuelewa. Chimba uelewe. Ndo mana mapadre wanasoma 16 years baada ya form six ili kuw knowlegeable siyo hao akina kakobe au mwamposa wa elimi ya hapa na pale kiujanja janja
Nisome wapi zaidi ya Neno la Mungu?

Rozali imeandikwa kifungu Gani ndani ya BIBLIA?
 
Zanzibar iliripotiwa mtu mmoja alivamia na kuharibu Mali za Kanisa Katoliki,

Tukisema watu aina hii ndio wanaodhuru viongozi wa kiroho tutakuwa tumekosea?
 
Back
Top Bottom