Hivi inawezekana kupata mwanaume mwenye sifa hizi?

Kwamba unataka Jamaa wa dizaini hiyo.?

Yupo mmoja namjua anazo hizo sifa aisee.!

Kama vip, niwakutanishe nae.
No ukinikutanisha utakuwa umenitaftia utabeba lawama.hahahah ila ahsante kwa support
 
Nime ku pm bishotongo Njoo tujuane Sifa zetu pengine tunaweza ku match
 
Kwa sifa ulizozitaja/unazihitaji kwa mwanaume

Binafsi ninazo mamy wangu bishontongo na nahisi kama nakufaa vile

Naomba nichukue fursa hii kuja Pm then tubadilishane namba za simu na tutumiane picha pia bila kuhusisha camera 360.


KARIBU SANA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…