Bensonben
Senior Member
- Jul 3, 2015
- 185
- 266
[emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106]Mbona wapo shida inakuja kwako kuwa huna sifa wanazotaka wao maana na wao wanatafuta wenye sifa wanazitaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106]Mbona wapo shida inakuja kwako kuwa huna sifa wanazotaka wao maana na wao wanatafuta wenye sifa wanazitaka
Duh nimekoma mbona majibu ni mengi uwiiiiii we umetisha.
Hahahahahhahaah una uhakika?Mwambie aje na id yake ya siku zote!
Alisha kuja na id nyingine akataja sifa zake akitafuta mwanaume naona ili buma kaja kwa style hii
Nimefrahi sana congratsahaaaaaa hizo sifa kila mwanamke angependa ampate mwanaume wa hivyo ila mie ningependa pamoja na hivyo huyo mwanaume asikose vigezo hivyo
1.akupende
2. msafii
3. mama yake akupende
n.b sioni raha kuishi na mwanaume anaekosa vigezo hivyo.
Niko hapaMfano mie napenda nimpate mwanaume mrefu, mcheshi, mchapakazi, asiwe mchoyo asiwe mpenda ndogo, asiwe na maringo. Je, inawezekana kumpata?
Pia asiwe mchafu maana wanaume wengine mhhh! Na anipende na mie napenda sana kupendwa jamani, sjui ni matatizo au ni kawaida kwa watu wote?
Wasiwasi ni pale je nitampata nimtakaye au niende vyovyote tu? Ila awe mweusi, kama ni mweupe awe mzungu basi sogeza muda siku zipite.
Nipendavyo mimi .
Unajua maana yake au unafrahisha baraza.Jina lako tu linadhihirisha kuwa hawakutaki
Ww ndio mpenda ujinga maana umeandika mwenyewe ndogo halafu unasema ndugu na huyo bwana utampata tuJamani hiyo ndogo mliyo manisha poleni mie nilimanisha awe anapenda ndugu poleni kwa wapenda ujinga.
Hongera wewe ambae ujawai koseaWw ndio mpenda ujinga maana umeandika mwenyewe ndogo halafu unasema ndugu na huyo bwana utampata tu
Sasa km CV yenyewe umekosea kuandika sasa unategemea nani atakuita hata kwenye interview??Hongera wewe ambae ujawai kosea
Duh nimekoma mbona majibu ni mengi uwiiiiii we umetisha.
Unachopenda kipo. Na kukipata we fanya hayo hayo kwa mwenzako yatakurudia. Otherwise it is next to impossibilityMfano mie napenda nimpate mwanaume mrefu, mcheshi, mchapakazi, asiwe mchoyo asiwe mpenda ndogo, asiwe na maringo. Je, inawezekana kumpata?
Pia asiwe mchafu maana wanaume wengine mhhh! Na anipende na mie napenda sana kupendwa jamani, sjui ni matatizo au ni kawaida kwa watu wote?
Wasiwasi ni pale je nitampata nimtakaye au niende vyovyote tu? Ila awe mweusi, kama ni mweupe awe mzungu basi sogeza muda siku zipite.
Nipendavyo mimi .
Mpendwa Jf sjui kuitumia ntaipatajehahahahaha, mimi ndio money penny old school imelala hapa, njoo kwa page yangu upate darasa bishontongo
Mbona unaitumiaMpendwa Jf sjui kuitumia ntaipataje
Unaweza kupata, lakini ndogo lazima atake?Mfano mie napenda nimpate mwanaume mrefu, mcheshi, mchapakazi, asiwe mchoyo asiwe mpenda ndogo, asiwe na maringo. Je, inawezekana kumpata?
Pia asiwe mchafu maana wanaume wengine mhhh! Na anipende na mie napenda sana kupendwa jamani, sjui ni matatizo au ni kawaida kwa watu wote?
Wasiwasi ni pale je nitampata nimtakaye au niende vyovyote tu? Ila awe mweusi, kama ni mweupe awe mzungu basi sogeza muda siku zipite.
Nipendavyo mimi .