Hivi inawezekana kupata mwanaume mwenye sifa hizi?

Hivi inawezekana kupata mwanaume mwenye sifa hizi?

tatizo mtapishana kwenye sifa...yaani ulizonazo wewe yeye sio azipendazo.....ila usife moyo endelea kuchagua..huku ukiwa unakumbuka na umri wako......[emoji1] [emoji1]
 
Mfano mie napenda nimpate mwanaume mrefu, mcheshi, mchapakazi, asiwe mchoyo asiwe mpenda ndogo, asiwe na maringo. Je, inawezekana kumpata?

Pia asiwe mchafu maana wanaume wengine mhhh! Na anipende na mie napenda sana kupendwa jamani, sjui ni matatizo au ni kawaida kwa watu wote?

Wasiwasi ni pale je nitampata nimtakaye au niende vyovyote tu? Ila awe mweusi, kama ni mweupe awe mzungu basi sogeza muda siku zipite.

Nipendavyo mimi .
Inawezekana, wewe tu!
 
Umba wa kwako kama vipi!!!!maana anaweza akapatikana wa sifa hizo na akawa na mapungufu Mengine,cha kufanya ni kumoata anayekuja na tabia mtarekebishana ktk ndoa na hatimaye mtaendana kabisa.
 
Umba wa kwako kama vipi!!!!maana anaweza akapatikana wa sifa hizo na akawa na mapungufu Mengine,cha kufanya ni kumoata anayekuja na tabia mtarekebishana ktk ndoa na hatimaye mtaendana kabisa.
Umeanza na jibu baya ila malaika akakushika mkono ukamalizia vizuri aminaahsante.
 
Tuma basi ata kapicha jmn mana sifa izo watu wapo tukuone ukoje mana wengine tukiona body yako basi na tabia zako tutazijua na kujifunza kuzizoea
 
Mke wa mtu sumu ila mme wa mtu maziwa, je hizo sifa unazo?????
 
Back
Top Bottom