avinus albogast
Member
- Jan 12, 2014
- 93
- 33
Kumpata si kazi cha muhimu ni ww pia kuonyesha upendo wa dhati kwake. 0752 311 767 hope for GodSawa nimekuelewa mpendwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumpata si kazi cha muhimu ni ww pia kuonyesha upendo wa dhati kwake. 0752 311 767 hope for GodSawa nimekuelewa mpendwa
Inawezekana, wewe tu!Mfano mie napenda nimpate mwanaume mrefu, mcheshi, mchapakazi, asiwe mchoyo asiwe mpenda ndogo, asiwe na maringo. Je, inawezekana kumpata?
Pia asiwe mchafu maana wanaume wengine mhhh! Na anipende na mie napenda sana kupendwa jamani, sjui ni matatizo au ni kawaida kwa watu wote?
Wasiwasi ni pale je nitampata nimtakaye au niende vyovyote tu? Ila awe mweusi, kama ni mweupe awe mzungu basi sogeza muda siku zipite.
Nipendavyo mimi .
Nka ntakushobokerwa.bishontongo .wammbona? nkuigile? naba amaisho
Jibu tosha kabisa!Ili umpate sharti nawewe uwe na angalau sifa hizo.
Umeanza na jibu baya ila malaika akakushika mkono ukamalizia vizuri aminaahsante.Umba wa kwako kama vipi!!!!maana anaweza akapatikana wa sifa hizo na akawa na mapungufu Mengine,cha kufanya ni kumoata anayekuja na tabia mtarekebishana ktk ndoa na hatimaye mtaendana kabisa.
kubaki? toikumanya luhaya? nkuigile umushaija?Nka ntakushobokerwa.
Iweee bhojooo waguma!!kubaki? toikumanya luhaya? nkuigile umushaija?
naguma. Ninkuiga.Iweee bhojooo waguma!!
Upo mdogo wangu!Watakuja PM wamekusikia.
Hahahha chei bintamu kuleba abantu okwo baikugamba! Omshaija bilebi aigirwa ?kubaki? toikumanya luhaya? nkuigile umushaija?