Hivi inawezekana kupata mwanaume mwenye sifa hizi?

Hivi inawezekana kupata mwanaume mwenye sifa hizi?

Yaan utapata yeyote tu halaf utambadilisha wewe
 
Uzoefu wangu unanionesha wasichana wabaya kimuonekano hupenda kuchagua kwa sababu wao wenyewe hawavutii.
 
Mfano mie napenda nimpate mwanaume mrefu, mcheshi, mchapakazi, asiwe mchoyo asiwe mpenda ndogo, asiwe na maringo. Je, inawezekana kumpata?

Pia asiwe mchafu maana wanaume wengine mhhh! Na anipende na mie napenda sana kupendwa jamani, sjui ni matatizo au ni kawaida kwa watu wote?

Wasiwasi ni pale je nitampata nimtakaye au niende vyovyote tu? Ila awe mweusi, kama ni mweupe awe mzungu basi sogeza muda siku zipite.

Nipendavyo mimi .
Je wewe ni msafi au?
 
Njoo huku katolo nikuoe mm nina pesa nying na dushele la mwendokas cna haja ya kwenda kazin ni kukusugua tu mpaka serikal iingilie kat
 
Am sure umri wako ni chini ya miaka 24, ngoja umri wako usogee kidogo utapunguza tuu hvyo vigezo kwa sabab hakutakuwa na namna 🙂 🙂
 
mimi ninavyo hivyo vigezo bt ni mweupe na ni mwarabu asili yangu ni Oman katika mji wa Manah , lakin wewe nawe utaweza vigezo vyangu maana hapa usivutie upande wako tu na mimi nina moyo ujue
 
Muombe mungu tu umpate wa kufanana na wewe.unaweza umpate wa hizo sifa unazozitaka lakini ukute yalimo ndani hayamo...
 
Mfano mie napenda nimpate mwanaume mrefu, mcheshi, mchapakazi, asiwe mchoyo asiwe mpenda ndogo, asiwe na maringo. Je, inawezekana kumpata?

Pia asiwe mchafu maana wanaume wengine mhhh! Na anipende na mie napenda sana kupendwa jamani, sjui ni matatizo au ni kawaida kwa watu wote?

Wasiwasi ni pale je nitampata nimtakaye au niende vyovyote tu? Ila awe mweusi, kama ni mweupe awe mzungu basi sogeza muda siku zipite.

Nipendavyo mimi .
Unajua kila mtu ni mrefu... u need to specify.
Ulishawahi kusikia mtu anasema nina ufupi wa sm 120???
 
Hakuna kisichowezekana kama kweli ukiweka nia ya kutafuta...... mungu aliumba watu tofauti na tuko tofauti # sifa zote ninazo kama uko tayar tuanzishe gurudumu la mapenzi karibu PM me
 
Mfano mie napenda nimpate mwanaume mrefu, mcheshi, mchapakazi, asiwe mchoyo asiwe mpenda ndogo, asiwe na maringo. Je, inawezekana kumpata?

Pia asiwe mchafu maana wanaume wengine mhhh! Na anipende na mie napenda sana kupendwa jamani, sjui ni matatizo au ni kawaida kwa watu wote?

Wasiwasi ni pale je nitampata nimtakaye au niende vyovyote tu? Ila awe mweusi, kama ni mweupe awe mzungu basi sogeza muda siku zipite.

Nipendavyo mimi .
Daa vigezo vyote ninavyo kasoro cha kupenda ndogo. ...sa sijui tufanyeje apo.
 
Back
Top Bottom