....Na mwisho wa siku wakamsulubishaYesu tu na kuwahangaikia watu wote tena kwa unyenyekevu bado kuna waliomchukia na wakashangilia kifo chake.
Bibadamu wa kuwaona hivi hivi na nguo.....Na mwisho wa siku wakamsulubisha
Akafa na siku ya tatu akafufuka....Na mwisho wa siku wakamsulubisha
....wakivua nguo, tutakimbiana hapaBibadamu wa kuwaona hivi hivi na nguo.
...na ndio maana alivyofufuka akaamua kwenda kuketi kuume kwa baba yake.Akafa na siku ya tatu akafufuka
Jibu ni bora sanaa, nakazia pia kifupi HAIWEZEKANI ukapendwa na kila mmoja, Ice cream ni tamu ila haipendi na kila mmoja.Yesu tu na kuwahangaikia watu wote tena kwa unyenyekevu bado kuna waliomchukia na wakashangilia kifo chake.
Yesu hakua most mnyenyekevu person on earth. Yesu alikua mtii ila sio mnyenyekevu kama unataka kuamini Kasome baadhi ya majibu ya mwendokasi aliyokua nayo kulingana na mktadha husika.Yesu tu na kuwahangaikia watu wote tena kwa unyenyekevu bado kuna waliomchukia na wakashangilia kifo chake.
Ukweli 100℅Ukiona unapendwa na watu wote una shida kubwa na ukiona unachukiwa na watu wote una shida kubwa
Kwa sisi tunaofuatilia 'njia ya msalaba' kuna Jamaa walikuwa wanamchapa Yesu na mijeledi utasema hawakuwahi kabisa kumfahamu.Yesu tu na kuwahangaikia watu wote tena kwa unyenyekevu bado kuna waliomchukia na wakashangilia kifo chake.