Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
Anahitaji jibu la 3 phase vijijini na mijini
Asante SaaMbovu kwa ukumbusho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anahitaji jibu la 3 phase vijijini na mijini
Hapana haujazilipia hizo bali ulilipua ada ya kuunganishiwa umeme. Hii inadhirishwa na kiasi ulicholipia mfano 27000 kwa vijijini au 177000 kwa mijini
Kama upo ndani ya mita 30 ni Tsh 321000 kwa mijini na vijijini ni Tsh 27000 tu
Naomba mnifahamishe gharama za kufungiwa mita ya Luku ktk kibanda changu cha biasharaELIMIKA NA TANESCO
MWONGOZO KUHUSU KUHAMISHA MITA KUTOKA ENEO MOJA KWENDA ENEO JINGINE
Je mteja anaweza kuhamisha mita kutoka eneo moja kwenda eneo lingine?
Jibu la TANESCO
[emoji3578]Mita ni kifaa kinachotumika kupima matumizi ya mteja kadiri ya matumizi yake.
[emoji3578] Mteja halipii wala kununua mita bali analipia gharama halisi ya kufungiwa umeme (Service line connection fee).
[emoji3578]Mita inaendelea kuwa mali ya TANESCO wakati wote mteja anaotumia umeme.
[emoji3578]Mita ya umeme ikiharibika au kupata hitilafu yeyote ambayo haitokani na uzembe au matumizi mabaya ya mteja, TANESCO inabadilisha mita hiyo kwa gharama zake kwa kuwa ni kifaa chake.
[emoji3578] Wajibu wa mteja wa TANESCO unaanzia baada ya mita kuingia ndani ndio maana mteja au fundi (mkandarasi) haruhusiwi kufanya matengenezo yoyote kwenye mita ya TANESCO, wala kuifungua.
[emoji3578] Mita ya umeme ikishafungwa haiwezi kuhamishwa kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine isipokuwa ndani ya ploti / kiwanja husika na inafanywa na TANESCO kupitia maombi kwa maandishi ya mteja.
[emoji3578] Unapoona hitilafu yeyote kwenye mita au kifaa chochote cha umeme kuanzia kwenye mita kwenda nje toa taarifa TANESCO mara moja na sisi tutaifanyia kazi bila gharama yeyote.
Toa taarifa kupitia [emoji116]
[emoji3578] TANESCO APP
[emoji3578]Facebook/twitter/tanesco yetu
[emoji3578]Instagram:tanesco_official page
[emoji3578]Tovuti: www.tanesco.co.tz
[emoji3578] Barua pepe: Customer.service@tanesco.co.tz
[emoji3578] Huduma kwa wateja
0768 985 100/ 022 219 4400
TANESCO Tunayaangaza Maisha yako
Aisee[emoji23][emoji23]
Kwa hii sheria yenu naona kama zimepitwa na wakatiMita haihamishiki kwa sababu za kiusalama wa mapato, pia mteja hajalipia wala kununua mita ile ni mali ya TANESCO hivyo ukihama unaiacha pale pale kwa kuwa sio mali ya mteja.Kuhusu gharama zimepungua sana kutoa hapo awali