Mimi hapo kwa Dube mkuuu niliumia sana pia na Justin KalikaweWameishafariki wanamuziki wengi Ila binafsi
Ni wawili tu nilioumia
Whitney Houston na Lucky Dube
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi hapo kwa Dube mkuuu niliumia sana pia na Justin KalikaweWameishafariki wanamuziki wengi Ila binafsi
Ni wawili tu nilioumia
Whitney Houston na Lucky Dube
Ni kweli mkuu, huyu bidada alikuwa na nyota kali na uwezo pia.Sijui kama kweli but niliwahi sikia nyimbo za Whitney zilikuwa zikitumika kuwaamsha wagonjwa walio kwenye coma
na zimewahi kutumiwa na NASA huko kwenye space....
mbona boby anasema whitney ndo alimfundisha ungaWakulumiwa ni Boby Brown kwa kumfundisha huyu mlimbwende kubwia unga. So sad.
Unadhani the greatest woman singer of all time atakuwa ni nani? sidhani kama ni WhineyWadau kwa muda wa miaka mingi nimesikiliza muziki wa RnB, Soul na Pop hasa wa wasanii wa kike ila mpaka sasa sijapata wa kumfikia WH! Huyu katika wasanii hakika alikuwa msanii na sidhani kama kuna msanii wa kufikia records alizoweka!
Mpaka anafariki alikuwa kashapata tuzo, 640+ huku akiwa nominated zaidi ya mara 781!!
Mbali na Whitney Houston Wasanii wanaomfatia kwa ubora ni pamoja na
2. Mariah Carey
3. Celine Dion
4. Christina Aguilera
5. Beyonce
![]()
![]()
Weeeeeee mkuuu wewe kweliPengo lake lishazibwa na mwimbaji mmoja wa kutoka Igunga.
Unajua ya kwamba huo wimbo uliandikwa na Dolly Parton na pia uliimbwa na Dolly kwanza?Aaaand i'll always love uuuu! R.I.P WHITNFY
Hapo ongeza i have nothng, saving my love, heart broken hotel..wanna danc with smbdy
Inshort huyu mama alimaliza kiu ya music tena mkute akiwa jukwaani anavyocheza na sauti u gonna[emoji173]
Kuna kippindi Jennifer hudson alikuwa anakuja kuja well ila stil yupo poa pia.
RIP
Unajua ya kwamba huo wimbo uliandikwa na Dolly Parton na pia uliimbwa na Dolly kwanza?
Habari ndio hiyo.Hapana sijui ila huyu mmama anatisha kweli.
Sawa sawaaHabari ndio hiyo.