Mkuu walikualika chumbani mpaka ukayajua yote haya?Jack Pemba ndio alokuwa mume wa mwanzo wa Aunty Ezekeal n aloanza kimla O713..... mjanja wa mjini,Ana passport ya UK kwa ss ila yupo Kampala baada ya bongo kuharibu sana
Awamu hii sisikii zile nyimbo zenye vionjo vya majina ya watu. Utasikia, chief kiumbe, papaa musofe, ustadhi juma. nyockonyocko....Safi sana
Mkuu walikualika chumbani mpaka ukayajua yote haya?
Mume wa Aunty si wanasema yuko jela?Jack Pemba ndio alokuwa mume wa mwanzo wa Aunty Ezekeal n aloanza kimla O713..... mjanja wa mjini,Ana passport ya UK kwa ss ila yupo Kampala baada ya bongo kuharibu sana
Mutu ya pesaJack Pemba...askofu wa KWANZA!!!!!!!
Aliolewa na jack Pemba kwanza akaachika afu akaolew na Sunday ambae yuko jelaMume wa Aunty si wanasema yuko jela?
Ok!! Malizia sasa kwamba baadae akaenda zake kwa Iyobo mkuu!Aliolewa na jack Pemba kwanza akaachika afu akaolew na Sunday ambae yuko jela
Jina lako tu ni hatar boy mzuri...uwiii naomba rais wa jiji ahamie na upande huuMi nataka uraia wake tu maana mange kimambi anamtaja kila siku yaan
Ok!! Malizia sasa kwamba baadae akaenda zake kwa Iyobo mkuu!
[emoji15] kumbe mke???Kwani Iyoba mkata viuno nae Ni mume ?