Kwahio Wajapan wanapewa Bonus kuliko sisi na wenzetu huko Central African Republic walimkosea nini muumba hadi kunyimwa hii Bonus ?Mzee wa miaka 75 kweli aendelee kuishi.
Biblia imeandika miaka 70 ndio umri wa kuishi zaidi ya hapo ni bonus tu.
Jack wa watu vitu vingine tunamsingizia
Kwa penz jack alilompa mzee uzeeni limemuongezea siku za kuishi. Nina uhakika bila penz tamu la Jack mzee asingefika 75 age
Mission completedJack kapata mume mdhungu anaishi Dubai
Na watoto wake keshabeba.... machame byebye
Mission completed
Inamaana huu uzi hujasoma comments za wadau huko juu.Mission gani
Comments za wadau na yangu havihusiani. Jack huyu mwanaume kakutana nae baada ya kushindwa kesi ya mirathiInamaana huu uzi hujasoma comments za wadau huko juu.
Weee miye nakukubali kwenye hiyo kesi!!!!!!Alipata mzungu miezi Sita baada ya kifo cha Mzee Mengi, wameamia Dubai na Mzungu
Duuuh aiseeUmejuaje aliwasokota dreads anawasuka style za kubana za kidada
Ila swala la kupenda mbunye sio la kulaumiana jamani.[emoji1][emoji1][emoji1] yule mtoto wake wa kiume aitwae Abdiel akiwa mahakamani alisema kabisa mbele ya mahakama Kwamba dingi ake alikua Ni bonge la womanizer.
Alafu una hela unaoa ya nini. Hamna mwanamke atakataa kukupa mbususu bwana....wee unamwambia tuu hapa unapata gud time basi ila ndoa hamna. Hakuna demu atkataa trip za dubai akageggedwe huku akijua hamna ndoaKama umeoa usiwe na mchepuko wa kudumu ogopa sana hio. Mzee Mengi kumuoa Jack aliwadhalilisha sana watoto wake na i believe all along Mengi alikuwa mzinzi and kuna hotel moja ya best yake mnazi mmoja dsm ilikuwa pori lake. Kuleni sana mbunye mkiwa bado vijana ili uzee muwe tunu kwa jamii na familia zenu. Kafa kaachia aibu na pollution kwa watoto.
Jacky anapenda sana wanaume wazungu, halafu ana bahati ya kupata wanaume wenye hela, cjui anawategaje Mimi.
Jacky anapenda sana wanaume wazungu, halafu ana bahati ya kupata wanaume wenye hela, cjui anawategaje Mimi.
Uzuri anao na class anayo.
Jack ana tofauti na wasichana wengi kwa kipimo cha uzuri ,, japo wao wanajiona wako nae level sawa.
Jack alishinda miss Tanzania wakati wa ushindani mkali kuprove jinsi alivyo mrembo.
Kipindi anasoma sekondari forodhani alitingisha kweli kweli kwa sifa ya mzuri shule nzimaa.
Japo age imeenda ila uzuri bado anao wa kumvutia mwanaume yeyote mwenye pesa ama maskini.
Kabla ya mengi,,, tajiri Kinje pia alimvisha jack pete ya uchumba na akaporwa na mzungu enzi hizo
Kwahiyo unamaanisha nancy sumari kampa shavu bestie au vp?Connection , wanapeana wazungu/ wanaume wenye hela kwa mfano mimi nimeolewa na mume mzungu , na mume wangu ana rafiki yake mzungu mwenzie nikiona rafiki wa mume ana hela ninamuunganisha na shosti wangu kwa kuwakutanisha for a blind date hata kama shemeji kaoa atategwa Mpaka ataingia ndio ilivyotokea kwa kyln katafutiwa huyo mzungu na mdangaji mwenzie mwenye stock Ya kutosha ya wazungu
Hiyo miaka 70 ya kwenye Biblia iliandikwa wakati teknolojia ilikuwa haijaendelea. Hivi sasa watu wengi tu wanafika miaka 100 bila shida!Mzee wa miaka 75 kweli aendelee kuishi.
Biblia imeandika miaka 70 ndio umri wa kuishi zaidi ya hapo ni bonus tu.
Jack wa watu vitu vingine tunamsingizia
Kwa penz jack alilompa mzee uzeeni limemuongezea siku za kuishi. Nina uhakika bila penz tamu la Jack mzee asingefika 75 age
Mtu mdangaji hawezi kuwa na akiliKlyin angetakiwaga amulinde sana yule mzee Sasa alivo mjinga sijui alienda kuloga mke mkubwa afe kwanza Ili awe huru Matokeo yake mzee naye akaanza shida. Klyin anatia huruma sana