Hivi Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi kaishia wapi?

Hivi Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi kaishia wapi?

Mzee wa miaka 75 kweli aendelee kuishi.

Biblia imeandika miaka 70 ndio umri wa kuishi zaidi ya hapo ni bonus tu.

Jack wa watu vitu vingine tunamsingizia

Kwa penz jack alilompa mzee uzeeni limemuongezea siku za kuishi. Nina uhakika bila penz tamu la Jack mzee asingefika 75 age
Kwahio Wajapan wanapewa Bonus kuliko sisi na wenzetu huko Central African Republic walimkosea nini muumba hadi kunyimwa hii Bonus ?
 
Kama umeoa usiwe na mchepuko wa kudumu ogopa sana hio. Mzee Mengi kumuoa Jack aliwadhalilisha sana watoto wake na i believe all along Mengi alikuwa mzinzi and kuna hotel moja ya best yake mnazi mmoja dsm ilikuwa pori lake. Kuleni sana mbunye mkiwa bado vijana ili uzee muwe tunu kwa jamii na familia zenu. Kafa kaachia aibu na pollution kwa watoto.
Alafu una hela unaoa ya nini. Hamna mwanamke atakataa kukupa mbususu bwana....wee unamwambia tuu hapa unapata gud time basi ila ndoa hamna. Hakuna demu atkataa trip za dubai akageggedwe huku akijua hamna ndoa
 
Alipata mzungu miezi Sita baada ya kifo cha Mzee Mengi, wameamia Dubai na Mzungu
Jacky anapenda sana wanaume wazungu, halafu ana bahati ya kupata wanaume wenye hela, cjui anawategaje Mimi.
 
Jacky anapenda sana wanaume wazungu, halafu ana bahati ya kupata wanaume wenye hela, cjui anawategaje Mimi.

Uzuri anao na class anayo.

Jack ana tofauti na wasichana wengi kwa kipimo cha uzuri ,, japo wao wanajiona wako nae level sawa.

Jack alishinda miss Tanzania wakati wa ushindani mkali kuprove jinsi alivyo mrembo.

Kipindi anasoma sekondari forodhani alitingisha kweli kweli kwa sifa ya mzuri shule nzimaa.

Japo age imeenda ila uzuri bado anao wa kumvutia mwanaume yeyote mwenye pesa ama maskini.

Kabla ya mengi,,, bosi Kinje pia alimvisha jack pete ya uchumba na akaporwa na mzungu enzi hizo
 
Jacky anapenda sana wanaume wazungu, halafu ana bahati ya kupata wanaume wenye hela, cjui anawategaje Mimi.

Connection , wanapeana wazungu/ wanaume wenye hela kwa mfano mimi nimeolewa na mume mzungu , na mume wangu ana rafiki yake mzungu mwenzie nikiona rafiki wa mume ana hela ninamuunganisha na shosti wangu kwa kuwakutanisha for a blind date hata kama shemeji kaoa atategwa Mpaka ataingia ndio ilivyotokea kwa kyln katafutiwa huyo mzungu na mdangaji mwenzie mwenye stock Ya kutosha ya wazungu
 
Uzuri anao na class anayo.

Jack ana tofauti na wasichana wengi kwa kipimo cha uzuri ,, japo wao wanajiona wako nae level sawa.

Jack alishinda miss Tanzania wakati wa ushindani mkali kuprove jinsi alivyo mrembo.

Kipindi anasoma sekondari forodhani alitingisha kweli kweli kwa sifa ya mzuri shule nzimaa.

Japo age imeenda ila uzuri bado anao wa kumvutia mwanaume yeyote mwenye pesa ama maskini.

Kabla ya mengi,,, tajiri Kinje pia alimvisha jack pete ya uchumba na akaporwa na mzungu enzi hizo


Kinje Tajiri??!!! Funny🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Connection , wanapeana wazungu/ wanaume wenye hela kwa mfano mimi nimeolewa na mume mzungu , na mume wangu ana rafiki yake mzungu mwenzie nikiona rafiki wa mume ana hela ninamuunganisha na shosti wangu kwa kuwakutanisha for a blind date hata kama shemeji kaoa atategwa Mpaka ataingia ndio ilivyotokea kwa kyln katafutiwa huyo mzungu na mdangaji mwenzie mwenye stock Ya kutosha ya wazungu
Kwahiyo unamaanisha nancy sumari kampa shavu bestie au vp?
 
Tatizo la wanawake wengi huwa wanadanganywa na watu wa wapembeni lakini ukweli ni kuwa watu wa pembeni hawakupendei mema...
 
Mzee wa miaka 75 kweli aendelee kuishi.

Biblia imeandika miaka 70 ndio umri wa kuishi zaidi ya hapo ni bonus tu.

Jack wa watu vitu vingine tunamsingizia

Kwa penz jack alilompa mzee uzeeni limemuongezea siku za kuishi. Nina uhakika bila penz tamu la Jack mzee asingefika 75 age
Hiyo miaka 70 ya kwenye Biblia iliandikwa wakati teknolojia ilikuwa haijaendelea. Hivi sasa watu wengi tu wanafika miaka 100 bila shida!
Kwa utajiri aliokuwa nao Mengi angeweza kuishi zaidi ya 75 very easily!!
Something went wrong somewhere!! Sio bure.
 
Klyin angetakiwaga amulinde sana yule mzee Sasa alivo mjinga sijui alienda kuloga mke mkubwa afe kwanza Ili awe huru Matokeo yake mzee naye akaanza shida. Klyin anatia huruma sana
Mtu mdangaji hawezi kuwa na akili
 
Back
Top Bottom