cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Aisee boraWanaendelea kulipiwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee boraWanaendelea kulipiwa
Alikuwa bado analipiwa hata sehemu Yao ya kukaa ni ukorofi tu wa klyn na walio mshauri kufungua ma will fake aiseeIPP huko ndio mama wa watoto keshaharishia kambi. Karo za IST bila kulipiwa na mwajiri/kampuni ni shughuli pevu. Dubai public schools ni nzuri. Anaweza peleka watoto public school na wakapata elimu nzuri.
Public schools za UAE kama huna uraia wao kwanza wanakufukuza mbegu chafu
Public schools za UAE kama huna uraia wao kwanza wanakufukuza mbegu chafu
Kama biblia imeandika hivo mbona watu wa zamani walikuwa wanaishi muda mrefu sana ina maana inakinzana yenyewe kwa yenyewe chief? Anyway tustick kwenye mada, wenye kujua alipo watatujuzaMzee wa miaka 75 kweli aendelee kuishi.
Biblia imeandika miaka 70 ndio umri wa kuishi zaidi ya hapo ni bonus tu.
Jack wa watu vitu vingine tunamsingizia
Kwa penz jack alilompa mzee uzeeni limemuongezea siku za kuishi. Nina uhakika bila penz tamu la jack mzee asingefika 75 age
Kama biblia imeandika hivo mbona watu wa zamani walikuwa wanaishi muda mrefu sana ina maana inakinzana yenyewe kwa yenyewe chief? Anyway tustick kwenye mada, wenye kujua alipo watatujuza
Hilo andiko liko kitabu gn na mstari wa ngapi?!
Sasa mimi nauliza FRESHMAN wale waliokuwa wakiishi miaka elfu na kadhaa, yenyewe haikuwaona?Zaburi 90:10 inasema hivi.
Miaka ya kuishi ni sabini, au tukiwa wenye afya, themanini; lakini yote ni shida na taabu! Siku zapita mbio, nasi twatoweka mara!
Sasa mimi nauliza FRESHMAN wale waliokuwa wakiishi miaka elfu na kadhaa, yenyewe haikuwaona?
[emoji16][emoji16]Niwasaidie tunagawana mshahara?! Kaombeni msaada kwa watu wa Marekani kama ARVs
AiseeeAtakuwa anapitia kipindi kigumu sana huyu dada na mashosti nao wamemkimbia kina Nancy Sumari, Halafu watoto alishawatoa Ile shule Yao.
Klin alikosea ku foji hiyo will wachagga hulea watoto, Sasa yeye akawachokoza wapalestina Matokeo ndio haya. Aende Moshi Xmass hii na masale akawaangukie wale wazee wa ukoo wamsamehe na wampe share zake, ikiwezekana awakabidhi wale watoto walelewe na ndugu wa Mengi yeye aendelee na maisha yake
Umeme haulogwi mkuu, kila mtu ana njia yake ya kwenda kwa muumba wake,grid ya taifa nayo haichagui ipite wapi,kule alikoenda mama kwa yule Dr papaa ni high voltageKlyin angetakiwaga amulinde sana yule mzee Sasa alivo mjinga sijui alienda kuloga mke mkubwa afe kwanza Ili awe huru Matokeo yake mzee naye akaanza shida. Klyin anatia huruma sana
Tena Hana bahati, mahakama imejua kafoji nyaraka, Ila wamemuacha huru bila ya kumtia hatiani.Atakuwa anapitia kipindi kigumu sana huyu dada na mashosti nao wamemkimbia kina Nancy Sumari, Halafu watoto alishawatoa Ile shule Yao.
Klin alikosea ku foji hiyo will wachagga hulea watoto, Sasa yeye akawachokoza wapalestina Matokeo ndio haya. Aende Moshi Xmass hii na masale akawaangukie wale wazee wa ukoo wamsamehe na wampe share zake, ikiwezekana awakabidhi wale watoto walelewe na ndugu wa Mengi yeye aendelee na maisha yake
Yani wamemuhurumia mno kupita kiasi forgery ni kosa kubwaTena Hana bahati, mahakama imejua kafoji nyaraka, Ila wamemuacha huru bila ya kumtia hatiani.
Ndio haulogwi ila kwa huyu mzee stress ziliongezeka kwa kuwa na huyu kimwana, wanaume watu wazima huhitaji kulindwa na kufanyiwa treatment njema, bila hivo huharakisha kufa kabla ya siku zao Sasa huyo klyn mtu mgonjwa wa operation tena ya moyo sijui ana stroke yeye ni ana mzururulisha eti vacation, mara Dubai Hadi mzee kadondoka yuko mwenyewe dada anakula Bata utegemee nini?Umeme haulogwi mkuu, kila mtu ana njia yake ya kwenda kwa muumba wake,grid ya taifa nayo haichagui ipite wapi,kule alikoenda mama kwa yule Dr papaa ni high voltage
Yani alibugi sana kufoji will binafsi nimemshusha thamani..Atakuwa anapitia kipindi kigumu sana huyu dada na mashosti nao wamemkimbia kina Nancy Sumari, Halafu watoto alishawatoa Ile shule Yao.
Klin alikosea ku foji hiyo will wachagga hulea watoto, Sasa yeye akawachokoza wapalestina Matokeo ndio haya. Aende Moshi Xmass hii na masale akawaangukie wale wazee wa ukoo wamsamehe na wampe share zake, ikiwezekana awakabidhi wale watoto walelewe na ndugu wa Mengi yeye aendelee na maisha yake
Sasa chakwake so alishachukua wanamlipiaje kwa mfnWale watoto walikuwa wanalipiwa na IPP sio hela zake yule, Sasa huko Dubai wataishije
Watoto lazima wasomeshweSasa chakwake so alishachukua wanamlipiaje kwa mfn
Wale marafiki ni wanafiki walikuwa hawampendi huyo klyin ni vile mzee alikuwaga na hela pia na yeye alikuwaga anawakatia tiketi wanaenda wote vacation,mwenzao ana matatizo wakamkimbiaYani alibugi sana kufoji will binafsi nimemshusha thamani..
Hata rfk zake wamemuona kabisa sio mtu mwema.