Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 29,909
- 32,414
NoumaaWale marafiki ni wanafiki walikuwa hawampendi huyo klyin ni vile mzee alikuwaga na hela pia na yeye alikuwaga anawakatia tiketi wanaenda wote vacation,mwenzao ana matatizo wakamkimbia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NoumaaWale marafiki ni wanafiki walikuwa hawampendi huyo klyin ni vile mzee alikuwaga na hela pia na yeye alikuwaga anawakatia tiketi wanaenda wote vacation,mwenzao ana matatizo wakamkimbia
Ka fodge WILL au madai ni Mzee Mengi alibadilisha WILL akiwa hayupo vizuri kiafya?Tena Hana bahati, mahakama imejua kafoji nyaraka, Ila wamemuacha huru bila ya kumtia hatiani.
Ka fodge WILL au madai ni Mzee Mengi alibadilisha WILL akiwa hayupo vizuri kiafya?
Watoto watalelewa kisasaSaa nyingine unatafta mtu ambaye ukiwa naye hata ukiondoka anaweza Lea watoto vizuri
Watoto wake kuwa wakubwa hasinge pata tabuMungu amfanyie wepesi aisee kwa kipindi hichi kigumu
Ilala mboma primay schoolHee sasa kama wale watoto mapacha wa Mengi wametolewa ist, sahiv wanasoma shule gani cariha
Alikuwa bado analipiwa hata sehemu Yao ya kukaa ni ukorofi tu wa klyn na walio mshauri kufungua ma will fake aisee
Watoto watalelewa kisasa
Watasukwa nywele daaah
Halafu wa kiume
Hawa wadada wa mjini tabu na vurugu tupu
Hawataki kuambiwa ukweli.. we angalia mtu kama mengi na heshima alizo kuwa nazo katika jamii anakuja kufanya vitu vya ovyo kabisa.Kama umeoa usiwe na mchepuko wa kudumu ogopa sana hio. Mzee Mengi kumuoa Jack aliwadhalilisha sana watoto wake na i believe all along Mengi alikuwa mzinzi and kuna hotel moja ya best yake mnazi mmoja dsm ilikuwa pori lake. Kuleni sana mbunye mkiwa bado vijana ili uzee muwe tunu kwa jamii na familia zenu. Kafa kaachia aibu na pollution kwa watoto.
Kwani unadhani huyo mzee ameanza kutomber uzeeni?ameshika pesa akiwa Ni chalii tu na hizo kumer alikua anazishughulikia kweli kweli.Kama umeoa usiwe na mchepuko wa kudumu ogopa sana hio. Mzee Mengi kumuoa Jack aliwadhalilisha sana watoto wake na i believe all along Mengi alikuwa mzinzi and kuna hotel moja ya best yake mnazi mmoja dsm ilikuwa pori lake. Kuleni sana mbunye mkiwa bado vijana ili uzee muwe tunu kwa jamii na familia zenu. Kafa kaachia aibu na pollution kwa watoto.
Sure but I think wholly speaking Mzee was a womanizer, equally kids never felt good with his malicious hunger for childish Mbunyende Mbunyende.Kwani unadhani huyo mzee ameanza kutomber uzeeni?ameshika pesa akiwa Ni chalii tu na hizo kumer alikua anazishughulikia kweli kweli.
Jua tu huwezi shindana na kumer.,they are there to stay.
😄😄😄 yule mtoto wake wa kiume aitwae Abdiel akiwa mahakamani alisema kabisa mbele ya mahakama Kwamba dingi ake alikua Ni bonge la womanizer.Sure but I think wholly speaking Mzee was a womanizer, equally kids never felt good with his malicious hunger for childish Mbunyende Mbunyende.
I saw a very particular scenario pale mnazi mmoja kwa hotel moja mama alikuja na mwanae kama cover ya mwanae kuliwa na The Baba off course she wa above 18.
Maisha raha sana tuoe pisi kali
Ndio apate funzo kuwa mchuma janga hula na wa kwao. Marafiki ni wakupiga nao story tuu na kugonga monde have gud time but when shit hits the fan usitegemee watakuwepo.Wale marafiki ni wanafiki walikuwa hawampendi huyo klyin ni vile mzee alikuwaga na hela pia na yeye alikuwaga anawakatia tiketi wanaenda wote vacation,mwenzao ana matatizo wakamkimbia
Kama umeoa usiwe na mchepuko wa kudumu ogopa sana hio. Mzee Mengi kumuoa Jack aliwadhalilisha sana watoto wake na i believe all along Mengi alikuwa mzinzi and kuna hotel moja ya best yake mnazi mmoja dsm ilikuwa pori lake. Kuleni sana mbunye mkiwa bado vijana ili uzee muwe tunu kwa jamii na familia zenu. Kafa kaachia aibu na pollution kwa watoto.
NdioUnaongea kama vile Jack ndiyo kamuua Mengi..
Hiyo Zaburi ni Agano la kale. Na miaka 70 imeandikwa Agano la kale(Zaburi).Biblia ina agano jipya na agano la kale.. umri wa kizazi cha sasa haupo sawa na wa kizazi cha zamani.