Hivi jamii zinawaonaje vijana wanaokaa muda mrefu bila kuwa na mwenza

Wanatuhis mahanithi, mashoga, mabahiri a.k.a wamimi(wabinafsi) , domo zege, wagonjwa, tuna vibamia nk
Ila kila mtu anajua ni mtu wa aina gan anaemuitaji na vigezo vip anaviangalia
 
Ukiishi kwa kuangalia jamii inasema nini ndugu siku ukipatwa na lolote jamii hiyo hiyo pia itasema, muhimu focus na interest zako watakaosema watajijua wao.
 
wan
wanakuona kama muhuni mhuni hivi.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…