HIVI JF WATU HUWA HAWALALI

Mchana mda wa kutafuta bwashee. usiku angalau tunapata mda wa kupitia JF
 
Kuna vijana wakorofi kweli wanaweza wakala daku yote ndo tunaviziana kila mtu anakula timing[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Hahaahaaaaaaaa
kama vipi lala na daku yako kitandani kabisa
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Nilikuwa na mpenzi wangu,tulipendana kama chomaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…