Black hermit
JF-Expert Member
- Mar 20, 2017
- 658
- 951
Ni saa nane kasoro saiz na naona watu bado wapo online najiuliza kinachowafanya wasilale ni kitu gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kijazi ndio Nini ?Tuko Kijazi zaidi
![]()
Nasubiri daku saa11Hata mtu wewe hujalala! Duh!!
Aaah saa 11 ndo uwe macho Sasa hiviNasubiri daku saa11
Kuna vijana wakorofi kweli wanaweza wakala daku yote ndo tunaviziana kila mtu anakula timing[emoji15] [emoji15] [emoji15]Aaah saa 11 ndo uwe macho Sasa hivi
Ndo unawafanya watu wasilale eti?Kuna uzi humu wa usiku unaitwa jf usiku wa manane
HahaahaaaaaaaaKuna vijana wakorofi kweli wanaweza wakala daku yote ndo tunaviziana kila mtu anakula timing[emoji15] [emoji15] [emoji15]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Weunazani k.k securty humu hawapo ?
Wake zenu mnawapa huduma muda gani sasa mchana auMchana mda wa kutafuta bwashee. usiku angalau tunapata mda wa kupitia JF
Haaa hapo sasa nimekupata, hiyo target nzuri ila ndo kama lindo!Kuna vijana wakorofi kweli wanaweza wakala daku yote ndo tunaviziana kila mtu anakula timing[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Humu hawapo. Ukipita kwenye malindo yao sasa hivi wanasinzia wakiwa wameketiWeunazani k.k securty humu hawapo ?