swali gani hili!Kwani mkude mpaka saizi Hana mke?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
swali gani hili!Kwani mkude mpaka saizi Hana mke?
Futa hii.Kwani mkude mpaka saizi Hana mke?
🤣🤣🤣🤣🤣Ni walinzi wa sokokuu la mifugo hapa Kibaigwa...🤨
Bado mimi na wewe tu ndio hatuja mkula...🤣Duh kajala kawashika watu eh
Kila mtu anataka kumuonja
Ova
Hawezi kua mwanaume labda atakua na jinsia ya kiumeAmini mkuu ukute ni kidume, Wanaume wanapungua kwa kasi kubwa sana. Hivyo watakuja kuwa viumbe adimu sana miongo miwili mitatu ijayo.
TuacheHizi ndo mada za wabongo
[emoji23][emoji23][emoji23]Chai
Wewe mahusiano yao yanakuhusu nini??Kajala na Jonas wanajisumbua tu kujificha na penzi lao la wizi wizi .
Hilo penzi lao watu tunalijua kitambo wenyewe eti wanadhani wanafanya siri [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Halafu mbaya zaidi Kajala alianza ku date na Mkude kipindi ambacho yupo na Harmonize ,halafu sasa Harmonize na Mkude walikuwa ni mabest .
Nina asilimia mia sababu kuu ya Harmonize kumuacha Kajala ni Mkude ,ndio maana siku hizi siwaoni pamoja yeye na Mkude.
Kingine hii birthday aliyoifanya juzi Kajala kama hajafanyiwa na Mkude sijui japo wengi wanadhani Marioo ndio kasimamia show nzima [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yani unaambiwa Kajala anampenda sana Mkude kule kwa Mzee wa Chitoholi alikuwa anamchuna tu.
Sema hizi ndio mada za wanaume wa Dar. Huyu jamaa anawawakilisha vizuri wanaume wa Dar. Bongo kila kitu ni Dili hata bongo dili naye ni dili.Hizi ndo mada za wabongo
Siku hizi unakuta dume zima tena lenye familia limekaa linafuatilia mahusiano ya malaya yupi anafanya nini na nani kama linafuatilia deal la fedha!Kajala na Jonas wanajisumbua tu kujificha na penzi lao la wizi wizi .
Hilo penzi lao watu tunalijua kitambo wenyewe eti wanadhani wanafanya siri 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Halafu mbaya zaidi Kajala alianza ku date na Mkude kipindi ambacho yupo na Harmonize ,halafu sasa Harmonize na Mkude walikuwa ni mabest .
Nina asilimia mia sababu kuu ya Harmonize kumuacha Kajala ni Mkude ,ndio maana siku hizi siwaoni pamoja yeye na Mkude.
Kingine hii birthday aliyoifanya juzi Kajala kama hajafanyiwa na Mkude sijui japo wengi wanadhani Marioo ndio kasimamia show nzima 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Yani unaambiwa Kajala anampenda sana Mkude kule kwa Mzee wa Chitoholi alikuwa anamchuna tu.
Nawe unaona ni sawa Kalaja kumlipa mletamada ili amwandike huku?Imagine !!