Hivi Kajala na Jonas Mkude watafanya mapenzi yao ya siri mpaka lini?

Kama wanayafanya Siri sasa wewe umejuaje hayo ya sirini??
 
Wewe mahusiano yao yanakuhusu nini??

wakiwa wanakulana kwa siri umepungukiwa nini, wakiweka wazi utapata faida gani.

Kama wewe ni mwanaume basi ulipaswa uwe Ke ila kama ni mwanamke is Ok mnapenda umbea.
 
Siku hizi unakuta dume zima tena lenye familia limekaa linafuatilia mahusiano ya malaya yupi anafanya nini na nani kama linafuatilia deal la fedha!
 
Kajala na bintiye ni mfano mzuri wa familia ya kikahaba. Kuna siku kapost clip yuko chooni halafu bintiye kamfuata chooni. Mimi kiukweli nikipata nafasi ya kuwa na Kajala lazima nipite pia na binti yake ili nikienda motoni niende kishujaa kwa dhambi iliyotimia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…