Desprospero
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 1,015
- 2,493
Wana wema,
Naomba kuuliza nini hasa maana ya kuruhusu mikutano ya siasa. Nasikia na kuona ratiba ya vyama vya siasa hasa upinzani inaonesha ni kuzunguka nchi nzima. Kufanya nini ilhali hakuna Ilani wanayotekeleza, hakuna miradi wanayokagua nk.
Nimeanza kuelewa nini ilikuwa lojiki ya katazo ya kufanya siasa wakati wa kujenga nchi. Mbona wakongwe wa demokrasia kama Marekani, India, Uingereza haya mambo hayapo? Rais Samia think twice about this situation. Tusubiri kampeni. Vikao vya ndani iwe ruksa.
Naomba kuuliza nini hasa maana ya kuruhusu mikutano ya siasa. Nasikia na kuona ratiba ya vyama vya siasa hasa upinzani inaonesha ni kuzunguka nchi nzima. Kufanya nini ilhali hakuna Ilani wanayotekeleza, hakuna miradi wanayokagua nk.
Nimeanza kuelewa nini ilikuwa lojiki ya katazo ya kufanya siasa wakati wa kujenga nchi. Mbona wakongwe wa demokrasia kama Marekani, India, Uingereza haya mambo hayapo? Rais Samia think twice about this situation. Tusubiri kampeni. Vikao vya ndani iwe ruksa.