Hivi kampeni za 2025 ndio zimeanza au macho yangu?

Hivi kampeni za 2025 ndio zimeanza au macho yangu?

Wana wema,

Naomba kuuliza nini hasa maana ya kuruhusu mikutano ya siasa. Nasikia na kuona ratiba ya vyama vya siasa hasa upinzani inaonesha ni kuzunguka nchi nzima. Kufanya nini ilhali hakuna Ilani wanayotekeleza, hakuna miradi wanayokagua nk.

Nimeanza kuelewa nini ilikuwa lojiki ya katazo ya kufanya siasa wakati wa kujenga nchi. Mbona wakongwe wa demokrasia kama Marekani, India, Uingereza haya mambo hayapo? Rais Samia think twice about this situation. Tusubiri kampeni. Vikao vya ndani iwe ruksa.
Mkuu sie na Marekani na waingereza wapi na wapi? Mkuu huku hata ukifanya mazingaombwe tu kwenye eneo la watu wengi basi watu wanajazana kuangalia na kuacha shughuli zao. Sasa ikija mikusanyiko kama hiyo watu lazima wajae tu kushangaa shangaa hasa ukiwawekea na muziki ndio kabisa wanaburudika.

Kimbembe baada ya mkutano kuisha wahoji walichoelewa baada ya kusikiliza.
 
Sheria inawaruhusu kufanya kazi ya kunadi sera zao ili kuwashawishi watu wajiunge navyo pamoja na kufanya mikutano.
Hilo ni takwa la kisheria .
Kama halitakiwi inabidi kubadili sheria
Ni hisani tu ya Rais, kama sasa Rais ataamua kuzuia tena basi mpaka akina Mbowe wakamuombe tena.
 
Mkoswa akili mkubwa wewe kama slow slow.
Kabalishe katiba iliyorohusu mikutano ya siasa.
Hakuna cha katiba ni hisani ya Rais tu, sasa hivi Rais akiamua kupiga marufuku basi hadi Mbowe akamuombe tena ndio akubali kufanyika hiyo mikutano.
 
Wana wema,

Naomba kuuliza nini hasa maana ya kuruhusu mikutano ya siasa. Nasikia na kuona ratiba ya vyama vya siasa hasa upinzani inaonesha ni kuzunguka nchi nzima. Kufanya nini ilhali hakuna Ilani wanayotekeleza, hakuna miradi wanayokagua nk.

Nimeanza kuelewa nini ilikuwa lojiki ya katazo ya kufanya siasa wakati wa kujenga nchi. Mbona wakongwe wa demokrasia kama Marekani, India, Uingereza haya mambo hayapo? Rais Samia think twice about this situation. Tusubiri kampeni. Vikao vya ndani iwe ruksa.

Acha uongo huko India Mikutano ya vyama vya siasa ni kawaida sana tena ya kutosha . Acha kupotosha kitu usichokifahamu
 
Wana wema,

Naomba kuuliza nini hasa maana ya kuruhusu mikutano ya siasa. Nasikia na kuona ratiba ya vyama vya siasa hasa upinzani inaonesha ni kuzunguka nchi nzima. Kufanya nini ilhali hakuna Ilani wanayotekeleza, hakuna miradi wanayokagua nk.

Nimeanza kuelewa nini ilikuwa lojiki ya katazo ya kufanya siasa wakati wa kujenga nchi. Mbona wakongwe wa demokrasia kama Marekani, India, Uingereza haya mambo hayapo? Rais Samia think twice about this situation. Tusubiri kampeni. Vikao vya ndani iwe ruksa.
Ulipigiwa HODI kuchangia hiyo mikutano?

Kwa miaka 6 vyama vya upinzani ni kama viliuwawa, hivyo nw ni wanarudisha uhai wa Vyama vyao.

2024 Iko karibu, hivyo ni sahihi kufanya wafanyayo.

Kama hujaelewa, una AGENDA uijuayo wewe mwenyewe.
 
Uk ndani ya miaka 5 imebadili mawaziri wakuu 6 je unazan inatokana na nn
 
Sio hisani ni suala la kisheria .
Ndio maana huyo Rais aliyezuia kafa
Rais Samia kafa lini? Alipokufa Magufuli Samia akaliendeleza hilo katazo hadi alipokuja kuombwa na akina Mbowe kama si kuombwa basi asingeruhusu.
Kwa hiyo halikuwa katazo la aliyekufa bali lilikuwa katazo la Rais aliyekuwa madarakani yupo hai na ndio maana wakamuomba yeye aruhusu.

Kwahiyo ni suala la hisani na ndio maana walimpongeza kwa hiyo hisani yake.
 
Back
Top Bottom