Hivi kampeni za 2025 ndio zimeanza au macho yangu?

Desprospero

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
1,015
Reaction score
2,493
Wana wema,

Naomba kuuliza nini hasa maana ya kuruhusu mikutano ya siasa. Nasikia na kuona ratiba ya vyama vya siasa hasa upinzani inaonesha ni kuzunguka nchi nzima. Kufanya nini ilhali hakuna Ilani wanayotekeleza, hakuna miradi wanayokagua nk.

Nimeanza kuelewa nini ilikuwa lojiki ya katazo ya kufanya siasa wakati wa kujenga nchi. Mbona wakongwe wa demokrasia kama Marekani, India, Uingereza haya mambo hayapo? Rais Samia think twice about this situation. Tusubiri kampeni. Vikao vya ndani iwe ruksa.
 
Kuruka ruka Kwa maharage ndo kuiva kwake
 
Haifahamiki kama unalia au unalalamika !
 
S
SGang
 

Mbona huulizi bilioni 375 za Wizara ya Ardhi zimeenda wapi?. Wewe unaumizwa upinzani kufanya mikutano.
 
1. Wanatumia hela zako kuendesha hiyo mikutano?
2. U&meitwa wewe uende kwenye mkutano?
3. Wanaohudhuria kwenye hiyo mikutano wamelazimishwa?
4. Wewe ni upinzani au mwana ccm?
5. pilipili usiyoila inakuwashia nini?
 
Wewe ni pimbi hasilani
 
🚮🚮🚮
uvccm wanajazana ujinga mtupu!
Kwa hiyo unatamani uvunjifu wa Katiba uendelee?!!!
 
Mkoswa akili mkubwa wewe kama slow slow.
Kabalishe katiba iliyorohusu mikutano ya siasa.
 
Hoja hujibiwa kwa hoja hapo bado hujamsaidia kitu
No mkuu hoja zingine ni straight forward ni ya kizuzu na upumbavu mkubwa, why mtoa hoja asifanye utafiti kijiridhia kuhusu vyama vya siasa?,hivi vitoto vya Kayumba schools ni shida, kuna uzi sehemu Juha mmoja anaulizia kama WW1 battles zilipiganwa ndani ya nchi yetu??,real unaweza Kuja na mada kama hii humu JF?,means Juha huyu hajui kuwa kwa nini Tanganyika iliangukia kwa waingereza (UN)It's craze mkuu hawa mazuzu inabidi wajibiwe hivyo
 
Na wewe unajiweka kwenye group la GT!,kuna viajira vya immigrations vimetoka huko,nenda kajaribu
 
ujinga umejaa kwenye ubongo wako.... eti think twice abt this situation ....bloodfoool go to hell
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…