Hivi Kangi Lugola yupo wapi?

Nami niliona,tena anatoa kama kauli ya serekali wadudu watoke wenyewe kabla ya hatua za kisheria kuchukuliwa!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ile video inachekesha sana πŸ˜€
 
Kuna siku nimemuona yuko anafakamia viazi vya kuchemsha huko bunda.
 
Kangi alikua Kisha Anza kulirekebisha jeshi la polisi.
Angebaki Leo Polisi ingekua bora sana kiutendaji na kuacha kunyanyasa wananchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…