Farolito JF-Expert Member Joined Sep 10, 2018 Posts 12,001 Reaction score 27,175 Nov 4, 2024 #61 jkipaji said: Nami niliona,tena anatoa kama kauli ya serekali wadudu watoke wenyewe kabla ya hatua za kisheria kuchukuliwa!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Click to expand... Ile video inachekesha sana π
jkipaji said: Nami niliona,tena anatoa kama kauli ya serekali wadudu watoke wenyewe kabla ya hatua za kisheria kuchukuliwa!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Click to expand... Ile video inachekesha sana π
C Conquistador JF-Expert Member Joined Jun 10, 2024 Posts 1,435 Reaction score 3,463 Nov 4, 2024 #62 Class mate wangu UDSM Mbwembwe zake alianza zamani.
kyagata JF-Expert Member Joined Oct 18, 2016 Posts 10,406 Reaction score 19,892 Nov 4, 2024 #63 Kuna siku nimemuona yuko anafakamia viazi vya kuchemsha huko bunda.
P Percival JF-Expert Member Joined Mar 23, 2010 Posts 3,676 Reaction score 2,621 Feb 11, 2025 #64 Kangi alikua Kisha Anza kulirekebisha jeshi la polisi. Angebaki Leo Polisi ingekua bora sana kiutendaji na kuacha kunyanyasa wananchi.
Kangi alikua Kisha Anza kulirekebisha jeshi la polisi. Angebaki Leo Polisi ingekua bora sana kiutendaji na kuacha kunyanyasa wananchi.
N njalas JF-Expert Member Joined Oct 4, 2022 Posts 883 Reaction score 1,100 Feb 12, 2025 #65 The Watchman said: Ninawasalimu wanajukwaa! Tangu kutenguliwa na Magufuli kutoka nafasi ya waziri wa mambo ya ndani, Kangi Lugola hasikiki kabisa hivi yupo wapi? Mwanajukwaa mwenzangu wewe ulikuwa unamkubali kwa kipi huyu mzee akiwa waziri? View attachment 3142802 Click to expand... Mwehu yule
The Watchman said: Ninawasalimu wanajukwaa! Tangu kutenguliwa na Magufuli kutoka nafasi ya waziri wa mambo ya ndani, Kangi Lugola hasikiki kabisa hivi yupo wapi? Mwanajukwaa mwenzangu wewe ulikuwa unamkubali kwa kipi huyu mzee akiwa waziri? View attachment 3142802 Click to expand... Mwehu yule