Hivi Karia lini anamaliza muhula wake wa Uongozi?

Hivi Karia lini anamaliza muhula wake wa Uongozi?

THE FIRST BORN

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2019
Posts
2,224
Reaction score
4,472
Habari wanajukwaa la sports.

Nimejiuliza hapa sijataka kuumiza kichwa changu kutafta huko kwenye websites ya TFF na platforms zingine maana naweza kutana na majibu ya ajabu ajuae kua karia anamaliza lini uongozi wake anisaidie.

Nataka kujua tu sina influence yeyote ya kusema nitagombea hata..ila nataka kujua maybe moyo wangu utapoa nitauambia vumilia haya maumivu ya kuona TFF mbovu kwenye kila maamuzi sio mda yataisha.

Au takua ana nafasi ya kugombea tena?🤔
 
Karia muda wake unakwisha May, 2025. Na hatapaswa kugombea tena kwa mujibu wa katiba ya TFF. Mpaka kufikia mwakani muda wake utakapokuwa umekwisha Karia atakuwa amehudumu kwa miaka nane, ikiwq ni vipindi viwili vya miaka minne minne.

Kwa wale ambao hatukuwahi kumkubali Karia na kuchoshwa na uongozi wake, kwa sasa tuna wajibu huu.
1. Kuwa wavumilivu ili Karia amalize muda wake, tusimpe sababu ya kuvuruga mambo ili atengeneze sababu ya kuendelea kukaa pale hata mwezi mmoja mbele.

2. Tuanze kuwajadili na kutengeneza njia kwa wagombea bora wa nafasi ile sasa. Tusipofanya hivyo, machawa wa Simba, Yanga na CCM watatutengenezea wakina Karia wengine na tukajikuta tunawapa nafasi tena.

3. Tuanze kupiga kelele na kukosoa vikali ubovu wa Karia na wapambe wake ili wachokwe kabisa na kukosa sababu ya kubadilisha kanuni, katiba itakayofanya waendelee kukaa pale au kurejea kwa mlango wa nyuma kupitia uchaguzi.
 
Habari wanajukwaa la sports.

Nimejiuliza hapa sijataka kuumiza kichwa changu kutafta huko kwenye websites ya TFF na platforms zingine maana naweza kutana na majibu ya ajabu ajuae kua karia anamaliza lini uongozi wake anisaidie.

Nataka kujua tu sina influence yeyote ya kusema nitagombea hata..ila nataka kujua maybe moyo wangu utapoa nitauambia vumilia haya maumivu ya kuona TFF mbovu kwenye kila maamuzi sio mda yataisha.

Au takua ana nafasi ya kugombea tena?🤔
Ameshajitengenezea tayari mazingira ya kutawala milele. Maana wajumbe wote amefanikiwa kuwaweka mfukoni mwake.
 
Karia muda wake unakwisha May, 2025. Na hatapaswa kugombea tena kwa mujibu wa katiba ya TFF. Mpaka kufikia mwakani muda wake utakapokuwa umekwisha Karia atakuwa amehudumu kwa miaka nane, ikiwq ni vipindi viwili vya miaka minne minne.

Kwa wale ambao hatukuwahi kumkubali Karia na kuchoshwa na uongozi wake, kwa sasa tuna wajibu huu.
1. Kuwa wavumilivu ili Karia amalize muda wake, tusimpe sababu ya kuvuruga mambo ili atengeneze sababu ya kuendelea kukaa pale hata mwezi mmoja mbele.

2. Tuanze kuwajadili na kutengeneza njia kwa wagombea bora wa nafasi ile sasa. Tusipofanya hivyo, machawa wa Simba, Yanga na CCM watatutengenezea wakina Karia wengine na tukajikuta tunawapa nafasi tena.

3. Tuanze kupiga kelele na kukosoa vikali ubovu wa Karia na wapambe wake ili wachokwe kabisa na kukosa sababu ya kubadilisha kanuni, katiba itakayofanya waendelee kukaa pale au kurejea kwa mlango wa nyuma kupitia uchaguzi.
Ameshabadili vipengele vya hiyo katiba..nilimsikia sehemu anasema bado ana terms 2 za kugombea🚮🚮
 
Back
Top Bottom