THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 2,224
- 4,472
Habari wanajukwaa la sports.
Nimejiuliza hapa sijataka kuumiza kichwa changu kutafta huko kwenye websites ya TFF na platforms zingine maana naweza kutana na majibu ya ajabu ajuae kua karia anamaliza lini uongozi wake anisaidie.
Nataka kujua tu sina influence yeyote ya kusema nitagombea hata..ila nataka kujua maybe moyo wangu utapoa nitauambia vumilia haya maumivu ya kuona TFF mbovu kwenye kila maamuzi sio mda yataisha.
Au takua ana nafasi ya kugombea tena?🤔
Nimejiuliza hapa sijataka kuumiza kichwa changu kutafta huko kwenye websites ya TFF na platforms zingine maana naweza kutana na majibu ya ajabu ajuae kua karia anamaliza lini uongozi wake anisaidie.
Nataka kujua tu sina influence yeyote ya kusema nitagombea hata..ila nataka kujua maybe moyo wangu utapoa nitauambia vumilia haya maumivu ya kuona TFF mbovu kwenye kila maamuzi sio mda yataisha.
Au takua ana nafasi ya kugombea tena?🤔