Pantomath
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 842
- 3,449
Mtaani tumezoea kodi ya fremu kuanzia 50k-200k, kutokana na eneo.
Kwa taarifa ninazopata ni kuwa fremu K.koo si chini ya 1M, oky hio sikatai kutokana na eneo lenyewe. Vipi hawa wanaosema ni 3M-5Millions.
Je, hii ni kweli? Mtu huyu ana mauzo ya namna gani?
Ikumbukwe hapa nazungumzia fremu za bidhaa ndogo ndogo kama simu, nguo n.k ambapo unakuta ukubwa wa chumba ni almost 8×10ft.
Kwa taarifa ninazopata ni kuwa fremu K.koo si chini ya 1M, oky hio sikatai kutokana na eneo lenyewe. Vipi hawa wanaosema ni 3M-5Millions.
Je, hii ni kweli? Mtu huyu ana mauzo ya namna gani?
Ikumbukwe hapa nazungumzia fremu za bidhaa ndogo ndogo kama simu, nguo n.k ambapo unakuta ukubwa wa chumba ni almost 8×10ft.