Hivi katiba mpya ni hisani ya kutoka Kwa mtawala ama ni takwa kisheria?

Hivi katiba mpya ni hisani ya kutoka Kwa mtawala ama ni takwa kisheria?

Siyo rahisi kama unavyofikiria...

Mchakato mzima unahusisha sekta nyingi ambazo zipo chini ya Rais bila kupewa ushirikaino hutoweza kufanikisha...
 
Nauliza tu Kwa watalaamu wa Sheria zetu

Kuwa na katiba mpya, ni hisani ya mtawala kukuubali kusimamia kitu hichi ambacho kwayo takwa hili halimo kwenye Ilani iliyomweka madarakani

Kama siyo huruma na hisani ya mtawala kupokea Jambo hili na kuamua kulifanyia kazi, Kwa nini kila anayesimama na kutaka katiba mpya anamalizia kumtaja Rais kwamba aliangalie Jambo hili?

Ulazima huo wa yeye atake asitake lazima katiba iandikwe tu unatoka wapi sasa?

Je, ni sheria ipi inayomlazimisha Raisi kwamba, linapokuja swala la kudai katiba mpya ni lazima atekeleze mara moja??

Kama hakuna sheria inayomlazimisha hivyo Rais kusimamamia uandikwaji wa katiba mpya, Ni Kwa namna Ipi Bora ambayo itatufanya tuipate hiyo katiba mpya?

Je, tunaweza kuandika katiba mpya hata mh Rais tusipomshirikisha au asipotaka kukubali kuandikwa Kwa katiba hiyo??

Je, ni Nani mwingine kikatiba anaweza kusaidia Jambo hili lifanyiwe utekerezaji wake hata Raisi asipotaka??

Kama hakuna kabisa mbadala wa Rais kusimamia hili Jambo la uandikwaji katiba mpya, jibu lake itakuwa ni kweli hisani ya Rais kupata katiba mpya ndio mwarobaini wa kelele zetu?

Je, sasa ikiwa ndio hivyo, wanaharakati wanaodai kuwepo katiba mpya, watumie Mbinu ipi ikiwa Mh Raisi hatokubali kupokea hitaji hili mhimu Kwa sasa

Kwenu, wadau wa sheria
Asante
 
Katiba ni twkwa la wananchi. Kwasabb katiba mkataba unaoeekeza watawala namna ya kuendesha uchumi na siasa za nchi.

Kwahiyo mkataba (katiba) ukiwa mbovu kama huu wetu unaompa mtawala nguvu kuliko wananchi, mtawala ananufaika zaidi. Na haumuwajibishi.

Ndiyo maana katiba hii kamwe haiwezi kubadilishwa na watawala bila kushinikizwa na wananchi.

Wananchi tukiendelea kulala tusahau kuhusu katiba mpya.
Wengi hawatambui hilo
 
Nauliza tu Kwa watalaamu wa Sheria zetu

Kuwa na katiba mpya, ni hisani ya mtawala kukuubali kusimamia kitu hichi ambacho kwayo takwa hili halimo kwenye Ilani iliyomweka madarakani

Kama siyo huruma na hisani ya mtawala kupokea Jambo hili na kuamua kulifanyia kazi, Kwa nini kila anayesimama na kutaka katiba mpya anamalizia kumtaja Rais kwamba aliangalie Jambo hili?

Ulazima huo wa yeye atake asitake lazima katiba iandikwe tu unatoka wapi sasa?

Je, ni sheria ipi inayomlazimisha Raisi kwamba, linapokuja swala la kudai katiba mpya ni lazima atekeleze mara moja??

Kama hakuna sheria inayomlazimisha hivyo Rais kusimamamia uandikwaji wa katiba mpya, Ni Kwa namna Ipi Bora ambayo itatufanya tuipate hiyo katiba mpya?

Je, tunaweza kuandika katiba mpya hata mh Rais tusipomshirikisha au asipotaka kukubali kuandikwa Kwa katiba hiyo??

Je, ni Nani mwingine kikatiba anaweza kusaidia Jambo hili lifanyiwe utekerezaji wake hata Raisi asipotaka??

Kama hakuna kabisa mbadala wa Rais kusimamia hili Jambo la uandikwaji katiba mpya, jibu lake itakuwa ni kweli hisani ya Rais kupata katiba mpya ndio mwarobaini wa kelele zetu?

Je, sasa ikiwa ndio hivyo, wanaharakati wanaodai kuwepo katiba mpya, watumie Mbinu ipi ikiwa Mh Raisi hatokubali kupokea hitaji hili mhimu Kwa sasa

Kwenu, wadau wa sheria
Asante
Sio lolote kati ya hayo mawili kwenye kichwa cha habari.

Ni takwa la kijamii
 
Back
Top Bottom