Hivi kila kilichoandikwa au kusemwa kuhusu Idd Amin kilikuwa cha kweli?

Hivi kila kilichoandikwa au kusemwa kuhusu Idd Amin kilikuwa cha kweli?

FYATU

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2011
Posts
5,567
Reaction score
4,683
Wahenga Wenzangu wanaweza kukumbuka vizuri taarifa mbalimbali tulizokuwa tukizisikia kumuhusu Idd Amin Dada.Kuna baadhi ambazo nani nilifanikiwa kuzisikia kama vile kusomba Walemavu ombaomba wote pale Kampala na kwenda kuwamwaga ziwa Victoria ili jiji libaki safi,kuwepo kwa vichwa vya Watu aliohitilafiana nao na kuwaua na kuviweka kwenye friji ikulu,pia tuliambiwa kwamba alimuua Mwanae wa kiume baada ya Mtoto huyo kuonesha dalili za kutamani mdaraka ya Baba yake.Yapo mengi na sidhani kama nilifanikiwa kuyasikia yote.Na kwa muda wote huu sijawahi kukutana na taarifa rasmi ya kukanushwa hayo.Sasa je ni kweli aliyatenda hayo yote?Je yeye mwenyewe alijua kinachoendelea na kupuuzia tu akiwa ukimbizini Saudi Arabia? Au Je hakukuwa na Watu waliotamani kukanusha walau kwa yale aliyosingiziwa?Hakika maswali ni mengi kuliko majibu.
 
Wahenga Wenzangu wanaweza kukumbuka vizuri taarifa mbalimbali tulizokuwa tukizisikia kumuhusu Idd Amin Dada.Kuna baadhi ambazo nani nilifanikiwa kuzisikia kama vile kusomba Walemavu ombaomba wote pale Kampala na kwenda kuwamwaga ziwa Victoria ili jiji libaki safi,kuwepo kwa vichwa vya Watu aliohitilafiana nao na kuwaua na kuviweka kwenye friji ikulu,pia tuliambiwa kwamba alimuua Mwanae wa kiume baada ya Mtoto huyo kuonesha dalili za kutamani mdaraka ya Baba yake.Yapo mengi na sidhani kama nilifanikiwa kuyasikia yote.Na kwa muda wote huu sijawahi kukutana na taarifa rasmi ya kukanushwa hayo.Sasa je ni kweli aliyatenda hayo yote?Je yeye mwenyewe alijua kinachoendelea na kupuuzia tu akiwa ukimbizini Saudi Arabia? Au Je hakukuwa na Watu waliotamani kukanusha walau kwa yale aliyosingiziwa?Hakika maswali ni mengi kuliko majibu.
Asilimi 92 ni kweli..
Iddi amini muda wote alikuwa na pistol kwenye kiuno, alipenda sifa na kuonekana yeye ndio anaakili nchi zima pia aliwauwa maadui zake kiasiasa na maiti zao zilitipwa ziwa vitoria ...
Ni kama mapacha vile..
 
Kwenye vita, muhanga wa kwanza ni habari/ukweli.

Kuna taarifa kwamba Tanzania ilirusha makombora sehemu kadhaa za Tanzania ili kuonyesha kwamba Idd Amin kayarusha. Baada ya mabomu kurushwa karibu na Mwanza, askari waasi ambao walikuwa chuo cha ualimu Butimba walisikika wakisema kazi imeiva, wiki hii tunaondoka.

Na hata kuna vikosi viliingia Uganda Amin akavifurusha mpaka Kyaka.

In fact ilikuwa ni vita iliyotengenezwa na Mwalimu ili amrudishe rafiki yake Obote madarakani.
 
Kwenye vita, muhanga wa kwanza ni habari/ukweli.

Kuna taarifa kwamba Tanzania ilirusha makombora sehemu kadhaa za Tanzania ili kuonyesha kwamba Idd Amin kayarusha. Baada ya mabomu kurushwa karibu na Mwanza, askari waasi ambao walikuwa chuo cha ualimu Butimba walisikika wakisema kazi imeiva, wiki hii tunaondoka.

Na hata kuna vikosi viliingia Uganda Amin akavifurusha mpaka Kyaka.

In fact ilikuwa ni vita iliyotengenezwa na Mwalimu ili amrudishe rafiki yake Obote madarakani.
Hakukuwa na mkono wa wazungu kweli pale mkuu?? Uganda kuingia OIC (Organization of Islamic Countries), kutekwa kwa ndege ya Israel na magenge ya waislam wenye msimamo mkali kisha kupelekwa Entebbe.
 
Tuseme yote yalikuwa ya uongo je, Nduli alitaka sehemu ya TZ? Je, alisapoti utekaji ndege ya Air France iliyokuwa imebeba waisrael kwenda Paris na badala yake ikaenda Libya na kisha Uganda? Kama alifanya yeyote kati ya hayo alistahili kichapo. Alikuwa dictator na mpenda sifa na tunajua hulka za watu wa aina hiyo. Alistahili kila kitu kilichompata.
 
Idi Amin alitaka zipigwe ngumi za Mtu mbili tu YEYE na Julius 😂
Unaambiwa ilipangwa zipigwe pale Nairobi (neutral ground) kuanzia saa 4 asubuhi,
basi ilivyofika saa 2 asubuhi Mwalimu akaingia ulingoni akapasha sana rusha sana ngumi hewani na groves zake,, kufika saa 3 akaondoka,
Amini akafika saa 4 hiyo haoni mpinzani wake ndo kuambiwa alikuwepo hapa amepasha sana ameondoka anasema umemuogopa,, ndio chanzo cha vita ile,,
 
Back
Top Bottom