Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
Kama nilivyosemaKwa hio unataka kusemaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama nilivyosemaKwa hio unataka kusemaje?
Kwamba Kwabendera umesema alimbaka makamu?Kama nilivyosema
Mapacha?Ni kama mapacha vile..
Huyo Idd Amini Dada mbona tuliambiwa ni dikteta na muuaji!!Best African President Ever.
Watu wanakumbuka mema ya Idd Amin ili kumtakasa malaika furani🤣Tumeanza kumtumia Iddi Amini kujitakasa takataka zetu?Tuongeze na wengine.
Waduanzi hao.Watu wanakumbuka mema ya Idd Amin ili kumtakasa malaika furani🤣
Ukitaka kumfukuza ama kumuua mbwa mchagulie kwanza majina yote mabaya, kisha nenda kafanye kweli.Wahenga Wenzangu wanaweza kukumbuka vizuri taarifa mbalimbali tulizokuwa tukizisikia kumuhusu Idd Amin Dada.Kuna baadhi ambazo nani nilifanikiwa kuzisikia kama vile kusomba Walemavu ombaomba wote pale Kampala na kwenda kuwamwaga ziwa Victoria ili jiji libaki safi,kuwepo kwa vichwa vya Watu aliohitilafiana nao na kuwaua na kuviweka kwenye friji ikulu,pia tuliambiwa kwamba alimuua Mwanae wa kiume baada ya Mtoto huyo kuonesha dalili za kutamani mdaraka ya Baba yake.Yapo mengi na sidhani kama nilifanikiwa kuyasikia yote.Na kwa muda wote huu sijawahi kukutana na taarifa rasmi ya kukanushwa hayo.Sasa je ni kweli aliyatenda hayo yote?Je yeye mwenyewe alijua kinachoendelea na kupuuzia tu akiwa ukimbizini Saudi Arabia? Au Je hakukuwa na Watu waliotamani kukanusha walau kwa yale aliyosingiziwa?Hakika maswali ni mengi kuliko majibu.
Point yangu ni kuwa Idd Amin kweli alivuka mpaka kwenye maeneo mengi lakini je ni yote yanayosemwa alifanya?Tukiweka mbali yale ambayo ni ya kuinekana wazi kama la Ndege kushikiliwa Entebe,kuivamia Kagera n.k kama hayo ya kula moto wa Binaadamu tana ukweli au ni Watu walijiongeza?.Tuseme yote yalikuwa ya uongo je, Nduli alitaka sehemu ya TZ? Je, alisapoti utekaji ndege ya Air France iliyokuwa imebeba waisrael kwenda Paris na badala yake ikaenda Libya na kisha Uganda? Kama alifanya yeyote kati ya hayo alistahili kichapo. Alikuwa dictator na mpenda sifa na tunajua hulka za watu wa aina hiyo. Alistahili kila kitu kilichompata.
Hii nilikutana nayo kwenye documentary moja, aliulizwa na Mwanahabari akacheka sana na kukiri kuwa ni kweli anataka aje Dar aonane na Mwalimu wazichape.Kama ya magufuli yaliyo andikwa na kabendera 98% ni uongo iweje ya Idd amini yawe kweli?
Hitler alikuwa anawaua vilema.Kuwamwaga vilema kwenye ziwa ni uwongo. Hata kichaa hawezi kufanya vile!!
My telephone is simple 2241
Mkuu dictator yeyote huwa na mabaya yake na mazuri yake mengi tu. Lakini kamwe mazuri yake huwa hayaandikwi.Hii
Hii nilikutana nayo kwenye documentary moja, aliulizwa na Mwanahabari akacheka sana na kukiri kuwa ni kweli anataka aje Dar aonane na Mwalimu wazichape.