Hivi kila kilichoandikwa au kusemwa kuhusu Idd Amin kilikuwa cha kweli?

Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.
 
Ukitaka kumfukuza ama kumuua mbwa mchagulie kwanza majina yote mabaya, kisha nenda kafanye kweli.
 
Point yangu ni kuwa Idd Amin kweli alivuka mpaka kwenye maeneo mengi lakini je ni yote yanayosemwa alifanya?Tukiweka mbali yale ambayo ni ya kuinekana wazi kama la Ndege kushikiliwa Entebe,kuivamia Kagera n.k kama hayo ya kula moto wa Binaadamu tana ukweli au ni Watu walijiongeza?.
 
Ukitaka kumfukuza ama kumuua mbwa mchagulie kwanza majina yote mabaya, kisha nenda kafanye kweli.
Ila pia tujiulize kwani taarifa zote kama hizo kumuhusu Amin zilitoka Tanzania au zilizotoka kwa Waganda wenyewe?
 
Ni uhakika Iddi Amin alikuwa mwendawazimu
 
Hii

Hii nilikutana nayo kwenye documentary moja, aliulizwa na Mwanahabari akacheka sana na kukiri kuwa ni kweli anataka aje Dar aonane na Mwalimu wazichape.
Mkuu dictator yeyote huwa na mabaya yake na mazuri yake mengi tu. Lakini kamwe mazuri yake huwa hayaandikwi.
Rejesha madai ya kumuondoa Gadafi madarakani waliona mabaya machache tu kama sio moja la kukaa madarakani muda mrefu lakini kwa sasa wanalia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…