Pre GE2025 Hivi kile kijiwe cha kahawa cha wanawake alichokunywa Rais Samia kilienda wapi?

Pre GE2025 Hivi kile kijiwe cha kahawa cha wanawake alichokunywa Rais Samia kilienda wapi?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Nyendo

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
1,336
Reaction score
4,731
Nimefika hapa Soko la Wamachinga parking Nzega nikataka kujionea kijiwe cha Kahawa cha wanawake ambacho Rais Samia alionekana akinywa kahawa maana nimezunguka mikoa mingi sijawahi kuona kijiwe cha wanawake, nikataka angalau nikawaunge mkono Wanawake hao ila sijafanikiwa kukiona.

Nimeuliza wenyeji hapa nao wanashangaa uwepo wa kijiwe hicho cha kahawa cha wanawake, nikasogea hadi vijiwe vilivyo vya wanaume nikawauliza iwapo wanajua wauza kahawa wenzao ambao ni wanawake walipo wakanishangaa wakasema hakuna na hawajawahi kuwaona.

1728638198882.png

Samia akiwa Soko la Wamachinga parking, Nzega, Tabora​

Pia soma:Mmeshawahi kuona kijiwe cha wanywa kahawa wanawake?
 
Unachokitafuta utakipata. Nadhani ungeanza na wale waliokuwa wanamuuzia mwendazake mapapai, samaki na mahindi ya kuchoma kabla ya hiki kijiwe cha kahawa cha juzi kwa Madam.

Mwendazake aliwahi kujongea vijiwe vya kahawa pia.

Sidhani kama ni halisi, ni vya kutengeneza tu kwa ajili ya mahusiano ya Rais na jamii.
 
Nimefika hapa Soko la Wamachinga parking Nzega nikataka kujionea kijiwe cha Kahawa cha wanawake ambacho Rais Samia alionekana akinywa kahawaa maana nimezunguka mikoa mingi sijawahi kuona kijiwe cha wanawake, nikataka angalau nikawaunge mkono Wanawake hao ila sijafanikiwa kukiona.

Nimeuliza wenyeji haoa nao wanashangaa uwepo wa kijiwe hicho cha kahawa cha wanawake, nikasogea hadi vijiwe vilivyo vya wanaume nikawuliza iwapo wanajua wauza kahawa wenzao ambao ni wanawake walipo wakanishangaa wakasema hakuna na hawajawahi kuwaona.


Samia akiwa Soko la Wamachinga parking, Nzega, Tabora

Pia soma:Mmeshawahi kuona kijiwe cha wanywa kahawa wanawake?
Ila uwezekano wa wanawake kupata muda wa kukaa kijiweni kunywa kahawa mbona naona kama ni mdogo sana ?
 
Unachokitafuta utakipata. Nadhani ungeanza na wale waliokuwa wanamuuzia mwendazake mapapai, samaki na mahindi ya kuchoma kabla ya hiki kijiwe cha kahawa cha juzi kwa Madam.

Mwendazake aliwahi kujongea vijiwe vya kahawa pia.

Sidhani kama ni halisi, ni vya kutengeneza tu kwa ajili ya mahusiano ya Rais na jamii.

😀
Mtanikumbuka
 
Nimefika hapa Soko la Wamachinga parking Nzega nikataka kujionea kijiwe cha Kahawa cha wanawake ambacho Rais Samia alionekana akinywa kahawaa maana nimezunguka mikoa mingi sijawahi kuona kijiwe cha wanawake, nikataka angalau nikawaunge mkono Wanawake hao ila sijafanikiwa kukiona.

Nimeuliza wenyeji haoa nao wanashangaa uwepo wa kijiwe hicho cha kahawa cha wanawake, nikasogea hadi vijiwe vilivyo vya wanaume nikawuliza iwapo wanajua wauza kahawa wenzao ambao ni wanawake walipo wakanishangaa wakasema hakuna na hawajawahi kuwaona.


Samia akiwa Soko la Wamachinga parking, Nzega, Tabora

Pia soma:Mmeshawahi kuona kijiwe cha wanywa kahawa wanawake?
Wakili wangu hayupo nchini 🙌🏿🙌🏿🙌🏿🏃🏿🏃🏿🏃🏿🏃🏿
 
Nimefika hapa Soko la Wamachinga parking Nzega nikataka kujionea kijiwe cha Kahawa cha wanawake ambacho Rais Samia alionekana akinywa kahawaa maana nimezunguka mikoa mingi sijawahi kuona kijiwe cha wanawake, nikataka angalau nikawaunge mkono Wanawake hao ila sijafanikiwa kukiona.

Nimeuliza wenyeji haoa nao wanashangaa uwepo wa kijiwe hicho cha kahawa cha wanawake, nikasogea hadi vijiwe vilivyo vya wanaume nikawuliza iwapo wanajua wauza kahawa wenzao ambao ni wanawake walipo wakanishangaa wakasema hakuna na hawajawahi kuwaona.


Samia akiwa Soko la Wamachinga parking, Nzega, Tabora

Pia soma:Mmeshawahi kuona kijiwe cha wanywa kahawa wanawake?
Ile ilikuwa script
 
Back
Top Bottom