Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,336
- 4,731
Nimefika hapa Soko la Wamachinga parking Nzega nikataka kujionea kijiwe cha Kahawa cha wanawake ambacho Rais Samia alionekana akinywa kahawa maana nimezunguka mikoa mingi sijawahi kuona kijiwe cha wanawake, nikataka angalau nikawaunge mkono Wanawake hao ila sijafanikiwa kukiona.
Nimeuliza wenyeji hapa nao wanashangaa uwepo wa kijiwe hicho cha kahawa cha wanawake, nikasogea hadi vijiwe vilivyo vya wanaume nikawauliza iwapo wanajua wauza kahawa wenzao ambao ni wanawake walipo wakanishangaa wakasema hakuna na hawajawahi kuwaona.
Samia akiwa Soko la Wamachinga parking, Nzega, Tabora
Pia soma:Mmeshawahi kuona kijiwe cha wanywa kahawa wanawake?
Nimeuliza wenyeji hapa nao wanashangaa uwepo wa kijiwe hicho cha kahawa cha wanawake, nikasogea hadi vijiwe vilivyo vya wanaume nikawauliza iwapo wanajua wauza kahawa wenzao ambao ni wanawake walipo wakanishangaa wakasema hakuna na hawajawahi kuwaona.
Samia akiwa Soko la Wamachinga parking, Nzega, Tabora
Pia soma:Mmeshawahi kuona kijiwe cha wanywa kahawa wanawake?