Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Samia forever and ever
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ndivyo watanzania wanapenda kuona. nakumbuka mbunge wa jimbo langu alikuwa anapendwa kisa akija anaenda kunywa kahawa na watu na kupiga nao picha na kuwaachia laki wagawane.Unachokitafuta utakipata. Nadhani ungeanza na wale waliokuwa wanamuuzia mwendazake mapapai, samaki na mahindi ya kuchoma kabla ya hiki kijiwe cha kahawa cha juzi kwa Madam.
Mwendazake aliwahi kujongea vijiwe vya kahawa pia.
Sidhani kama ni halisi, ni vya kutengeneza tu kwa ajili ya mahusiano ya Rais na jamii.
Nadhani wanafanya makusudi kwa sababu za kiusalama Ila Tu director awe makini na scriptUnachokitafuta utakipata. Nadhani ungeanza na wale waliokuwa wanamuuzia mwendazake mapapai, samaki na mahindi ya kuchoma kabla ya hiki kijiwe cha kahawa cha juzi kwa Madam.
Mwendazake aliwahi kujongea vijiwe vya kahawa pia.
Sidhani kama ni halisi, ni vya kutengeneza tu kwa ajili ya mahusiano ya Rais na jamii.
Mtoa mada ameuliza kijiwe cha kahawa cha wanawake na bibi chaudele wewe unaleta tena habari za mwendazake 🤔🤔Unachokitafuta utakipata. Nadhani ungeanza na wale waliokuwa wanamuuzia mwendazake mapapai, samaki na mahindi ya kuchoma kabla ya hiki kijiwe cha kahawa cha juzi kwa Madam.
Mwendazake aliwahi kujongea vijiwe vya kahawa pia.
Sidhani kama ni halisi, ni vya kutengeneza tu kwa ajili ya mahusiano ya Rais na jamii.