May Day
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 6,311
- 9,027
Kwanza nami nalaani alichokifanya yule Bw Dokta.
Baada ya lile tukio nimesikia matamko mbalimbali ya kulaani ambapo miongoni wao ni Madaktari wenzake....na nadhani hata bado kuna mchakato wa kumuadhibu kwa kukiuka maadili.
Baadae nikakumbuka ya kuwa kuna wakati Madaktari huamua kugoma, na hapo nchi jirani walitoka kugoma muda si mrefu.
Sasa nimejiuliza kama Madaktari wameungana na kulaani hili, ni nini huwakuta na kukubaliana wengi wao kama sio wote kugoma wakijua kabisa kuna Wagonjwa wanapata matatizo zaidi au hata kupoteza maisha?.
Kwa kuwa sijamsikia Daktari yeyote akijaribu kukaa upande wa Dokta yule, hivyo tusitarajie kusikia wameitisha mgomo?.
Baada ya lile tukio nimesikia matamko mbalimbali ya kulaani ambapo miongoni wao ni Madaktari wenzake....na nadhani hata bado kuna mchakato wa kumuadhibu kwa kukiuka maadili.
Baadae nikakumbuka ya kuwa kuna wakati Madaktari huamua kugoma, na hapo nchi jirani walitoka kugoma muda si mrefu.
Sasa nimejiuliza kama Madaktari wameungana na kulaani hili, ni nini huwakuta na kukubaliana wengi wao kama sio wote kugoma wakijua kabisa kuna Wagonjwa wanapata matatizo zaidi au hata kupoteza maisha?.
Kwa kuwa sijamsikia Daktari yeyote akijaribu kukaa upande wa Dokta yule, hivyo tusitarajie kusikia wameitisha mgomo?.