Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Wewe ulitegemea waishi milele? Waliopelekwa uarabuni walihasiwa kwanza. Walienda bila pumbu.Afadhali hata wamarekani tunawaona waafrika huko ila hawa waarabu sijui waliwapeleka wapi waafrika, maana hatuwaoni katika mataifa yao, tuone hata machotara tu
Hili ndio tatizo la kuwa na chuki na kituUnaona sasa mtu hajawahi fika hata hapo Zanzibar au hata Horiri kashajibu eti walifutwa wote jamani
Hatari sana mkuuHili ndio tatizo la kuwa na chuki na kitu
Sawa bwana mvaa Suti na 4 engo. Ila waliokuletea hizo suti ndio waliowakoloni babu zako, baba zako na mpaka wewe mwenyewe fikra zako wameziweka kwenye selo zao.Mmeshafika wavaa kibazi na vipedo 😀,kwanin hamtakagi kukubali kuwa waarabu waliwaua na kuwahasi watumwa waliopelekwa uarabuni?
Mbona USA kuna viongozi kibao weusi mfano Kamala Harris ,Ras Baraka (mayor wa New Jersey) na Marekani ilishawahi ongozwa na mtu mweusi ( Barak Obama)Hakuna popote Pale Duniani utapata Viongozi wazuri weusi tofauti na Nchi za kiarabu, hakuna popote Duniani utapata watu weusi wasomi tofauti na Nchi za kiarabu hakuna popote pale Duniani utapata watu weusi Wenye Hela tofauti NA nchi za kiarabu huo ni ukweli mchungu ambao wengi hawataki kukubali.
Wameanza Juzi juzi na hio ni Usa pekee, Ulaya kuna weusi wengi na hata hapo Usa Weusi ni walala Hoi.Mbona USA kuna viongozi kibao weusi mfano Kamala Harris ,Ras Baraka (mayor wa New Jersey) na Marekani ilishawahi ongozwa na mtu mweusi ( Barak Obama)
Uarabuni wapo watu weusi wengi tu, na kuna jimbo moja kule Iran ni la watu weusi na wanafahamika kabisa uzao wao ulitokea East Africa. Ni sawa sio wengi kama US lakini wapo , kwa sababu waarabu walikua wakiifanya hio biashara ya utumwa kwa kuwauzia wazungu, hivyo walioenda uarabuni hawakua wengi kama walioenda America ya kaskazini na kusini.Nafikiri waliwauza kwa wazungu wengi wao
Na kidogo wakapelekwa uarabuni
Nimekaa nchi za kiarabu nyingi na nimewaona watu weusi na hata Viongozi wakubwa na hata kwenye majeshi wamo wengi tena wenye vyeo vikubwa sana mpaka marubani nimewaona
Nimefanya nao kazi
Ila nilikuja kushangaa nilipokutana na Mpalestina mweusi
Ila nchi za kiarabu ndo zinaongoza kwa kuwatesa watu weusi. Watu weusi wengi wanafanywa kama watumwa kwenye nyumba za kiarabu na pia nchi za kiarabu ndo zinaongoza kutoa hukumu ya vifo kwa watu weusi sasa si bora Marekani wanawafunga peke yake.Wameanza Juzi juzi na hio ni Usa pekee, Ulaya kuna weusi wengi na hata hapo Usa Weusi ni walala Hoi.
Ukiangalia jela za Marekani asilimia 37 ni weusi, japo asilimia 13 tu ya wamarekani ni Weusi.
Ukiangalia Uchumi weupe wanamiliki asilimia 84 weusi ni asilimia 4 tu.
Ukija Elimu Weusi Wenye degree ni asilimia 13 tu weupe ni 24 etc.
So kila idara wapo nyuma
Huwezi ukasema Haya nchi za kiarabu, Weusi wapo completely Asimilated na wanaenjoy benefit zote za Waarabu as long as ni raia. Hao Afro Arabs wengi unakuta wamesoma vyuo vya kimataifa kama Havard, Oxford, Cambridge etc,
Weusi wameanza kuwa viongozi zaidi ya miaka 100 sasa huko Uarabuni, na sio Nchi moja Saudi wana MA prince weusi, Kuwait ma Ameir kibao weusi, Oman etc.
Huwezi fananisha kabisa weusi Wa Uarabuni na west.
Hatari sana mkuu
Wasiojua haya wana ile dhana ya kuwa walihasiwaUarabuni wapo watu weusi wengi tu, na kuna jimbo moja kule Iran ni la watu weusi na wanafahamika kabisa uzao wao ulitokea East Africa. Ni sawa sio wengi kama US lakini wapo , kwa sababu waarabu walikua wakiifanya hio biashara ya utumwa kwa kuwauzia wazungu, hivyo walioenda uarabuni hawakua wengi kama walioenda America ya kaskazini na kusini.
Huu uzi unalengo la udini tu! Mwarabu alikuja africa kufanya biashara tu sio kuuza watu! Ndo maana nchi kama ya kirwa ilikuwa na sarafu yake kabla ya wazungu hawajaelimika, someni vzr historiaBora kusoma kuongeza elimu kidogo, kuliko kuandika comment kubaki na ujinga. Hebu waulizeni waliofika Oman raiq walio wengi ni weupe ama weusi? Mfanyabiashara mkubwa wa utumwa alikuwa ni mzungu huyo mwarabu labda alikuwa anapiga winga tu.
Kama ww unavyo watetea mashoga wenzioSubir wavaa kobazi waje hapa kuwatetea mabwana zao
Mfalme leopold ii alikuwa mwarabu si ndioMmeshafika wavaa kibazi na vipedo 😀,kwanin hamtakagi kukubali kuwa waarabu waliwaua na kuwahasi watumwa waliopelekwa uarabuni?
1. Al Amoud ni mwarabu.Kuna uzi ulianzishwa jana tu leo mwengine.
Kifupi mkuu sehemu pekee watu weusi waliofanikiwa ni Uarabuni, ndio sehemu pekee utakuta scientist wakubwa, Maprofessor na madokta vyuoni, maEngineer na watu wengine wenye heshima.
Afro Arabs sio masikini ama waganga njaa kama weusi wengine wanaopatikana mataifa mbalimbali Duniani.
Hii comment yangu nilipost jana nacopy na ku paste hapa.
1. Mtu mweusi Tajiri Duniani huwa wanapokezana Baina ya Dangote na Al Amoud Bilionea Wa Saudia, Hakuna Mweusi yoyote Ulaya ama Usa anaegusa kwa Al Amoud
View attachment 3195316
2. Kuna Viongozi Kibao wenye Asili ya Africa ama ambao wame changanya kama Marehemu Qabous wa Oman pamoja na Baba yake, Mfalme wa Zamani wa Kuwait etc hii picha ya Lineage ya Sabah Familia ya viongozi wa Kuwait
View attachment 3195329
View attachment 3195330
3. Ukiangalia makampuni makubwa Makubwa ya Saudia na Arabuni kwa Ujumla utawakuta hao Black Arabs wakiwa na positions kubwa kubwa kama MA CEO, MA Engineer wakubwa, Madaktari etc kifupi kazi zinazohitaji akili.
-Ahmad Hawsawi CEO wa Siemens Saudia
View attachment 3195331
-Abdulelah AlHawsawi
Founder wa Saudi Patient safety centre kama Colaborate centre ya Who (Zipo 5 tu dunia nzima) na ni member wa WHO kwenye same field, pia anakuwa hadi Chairman vikao vingi vya WHO
View attachment 3195336
-Ingia website yoyote inayolist research papers na wanasayansi eka ukoo wowote wa watu weusi Wa Saudia kama huo wa Hawsawi angalia Contribution zao
Hakuna popote Pale Duniani utapata Viongozi wazuri weusi tofauti na Nchi za kiarabu, hakuna popote Duniani utapata watu weusi wasomi tofauti na Nchi za kiarabu hakuna popote pale Duniani utapata watu weusi Wenye Hela tofauti NA nchi za kiarabu huo ni ukweli mchungu ambao wengi hawataki kukubali.
Arabuni, watumwa waliminywa makende, kuahisiwa kabisa, hakuna kuzaa,mbegu nyeusi haikusambaa kabisa,Leo tunaona 13% ya population ya Marekani ikiwa ni ya watu weusi wengi wao kwa asilimia maradufu ni kizazi cha watumwa waliochukuliwa kutoka west africa.
Hivi wale waliokuwa wanatekwa wakina abushiri walipelekwa wapi na mark yao leo iko wapi.
Au walichukuliwa kwa uchache na kusambazwa maeneo tofauti ya waarabu?
Au walifutwa kama vile walivyofutwa wa pale argentina?
Mkuu hawa jamaaa wanaotoa maoni hasi ni wajinga sana sana. Hivi hizi ni zama za kuamini propaganda ! Yaani mtu anashindwa kufuatilia ukweli na kuamini vitabu vya drs la 4 na 5.Nafikiri waliwauza kwa wazungu wengi wao
Na kidogo wakapelekwa uarabuni
Nimekaa nchi za kiarabu nyingi na nimewaona watu weusi na hata Viongozi wakubwa na hata kwenye majeshi wamo wengi tena wenye vyeo vikubwa sana mpaka marubani nimewaona
Nimefanya nao kazi
Ila nilikuja kushangaa nilipokutana na Mpalestina mweusi
Karibia ya wale wote waliokwenda Uarabuni walikatwa mboo ili wasiende kuzaana kule na wengi walifia majini (baharini) kwani walitupwa humo baada ya kuvuja damu kwa wingi. Halafu anatokea Mtanzania mjinga asiyetaka kusoma ili ajuwe histori yake na kusema Mwarab ni ndugu yetuLeo tunaona 13% ya population ya Marekani ikiwa ni ya watu weusi wengi wao kwa asilimia maradufu ni kizazi cha watumwa waliochukuliwa kutoka west africa.
Hivi wale waliokuwa wanatekwa wakina abushiri walipelekwa wapi na mark yao leo iko wapi.
Au walichukuliwa kwa uchache na kusambazwa maeneo tofauti ya waarabu?
Au walifutwa kama vile walivyofutwa wa pale argentina?
Kaka umeongea kwa uchungu sana ila ndo ukweli ulivyo. Sisi muda mwingi tunatumia muda mwingi kulumbana mambo ya udaku wakati kumbe tungetumia japo dakika ishirini kuongeza kitu kichwani. Matokeo yake tunasubiri wazungu watuandikie vitabu vya history yetu wenyewe halafu na sisi tunavisoma bila hata kutumia common sense.Mkuu hawa jamaaa wanaotoa maoni hasi ni wajinga sana sana. Hivi hizi ni zama za kuamini propaganda ! Yaani mtu anashindwa kufuatilia ukweli na kuamini vitabu vya drs la 4 na 5.
Internet imejaa taarifa kedekede vipi mtu ae delee kuwa mjinga na kuamini taarifa ya chanso kimoja cha habari .
Siwapendi warabu ila
Kuamini ujinga kwangu kamwe.
Warabu ndio watu weupe ambao wengi wao wamechanganya damu na watu weusi, ina maana watu hawaoni hata pale morroco, Libya, Saudia.
Je kule India hakuna watu wanaitwa Sidis ambao ni zao la utumwa. Pakistan, Uturuki kote huko mbona kuna ex slave wengi tu.
Kwa nini watu wana amini ujinga ? Watu jielimisheni aisee. Mnatia aibu, ndio maana wakenya wanasema watanzania hawana elimu huenda ikawa kweli.
You tube kuna documentary nyingi za watu weusi wa ara Asia.
Bora umethibitisha kuwa umewaona kwa macho huenda wakaacha kuamini ujinga.
Ni kweli kaka unayoongea na sisi tayari tushapandikizwa mbegu ya chuki ya rangi na dini basi tunakwenda tu kwa ushabiki.Huu uzi unalengo la udini tu! Mwarabu alikuja africa kufanya biashara tu sio kuuza watu! Ndo maana nchi kama ya kirwa ilikuwa na sarafu yake kabla ya wazungu hawajaelimika, someni vzr historia
Pia tumia nguvu hii kulitetea taifa lako wapinzani wakitaka kuleta fujoWaarabu walikuwa ni wauza bidhaa na wazungu walikuwa ninwanunua bidhaa kwa ajili ya Cheap labour