ni jamii hiyohiyo ya waarabu, sijui kwa nini huwa mnawatoa wairan kwa waarabu wakati ni jamii moja na wamo katika jumuiya ya nchi za kiarabuMkuu,
Iran si Uarabuni lakini. WaIran si Waarabu.
Ndugu hasira za nini 😂😂Wewe muanzisha mada na hayo wenzio mtakuwa wapumbavu either kwq kujua au kutojua hivi mnasoma kweli ya ulimwengu au mpo comfotable hapo kwa mtogole? 👇👇 Huyu ni nani ni bibi yako? Au nikuletee wengine?
Duh this is tooo harshhhh!!!Waliouzwa UARABUNI walihasiwa...pia walitumika kama kifaa cha burudani kwa kuingiliwa kinyume cha maumbile na waarab......walahi walikuwa wanabashiwa...
Matusi ya nini mkuu?Wewe muanzisha mada na hayo wenzio mtakuwa wapumbavu either kwq kujua au kutojua hivi mnasoma kweli ya ulimwengu au mpo comfotable hapo kwa mtogole? 👇👇 Huyu ni nani ni bibi yako? Au nikuletee wengine?
Dogo fala huyoNdugu hasira za nini 😂😂
Mimi nimeuliza ili mnisaiidie majibu, sijatoa conclusion yoyote.
Jitafakari
Kuna documentary moja nitakuwekea hapa kuhusu hili jambo.................... utashangaaa.......................Duh this is tooo harshhhh!!!
Naomba ushushe mkuu tafadhariKuna documentary moja nitakuwekea hapa kuhusu hili jambo.................... utashangaaa.......................
Jamaa uafikiri babu yake ndio alikuwa anauza watumwa khaaa😂😂Matusi ya nini mkuu?
Wapo blacks wachache kwenye baadhi ya nchi za kiarabu. Huwa sio rahisi kuwaona kwa sababu ni insignificant socially, economicaly and in terms of numbers. Wa marekani ni rahisi kuwaona kwa vile wanaenda shule, wanashiriki social events including sports and music na ni wengi kidogo na pia wengine wana mkwanja. Matukio ya marekani ni rahisi kuyaona kwenye TV na magazeti.Leo tunaona 13% ya population ya Marekani ikiwa ni ya watu weusi wengi wao kwa asilimia maradufu ni kizazi cha watumwa waliochukuliwa kutoka west africa.
Hivi wale waliokuwa wanatekwa wakina abushiri walipelekwa wapi na mark yao leo iko wapi.
Au walichukuliwa kwa uchache na kusambazwa maeneo tofauti ya waarabu?
Au walifutwa kama vile walivyofutwa wa pale argentina?
Iran sio nchi ya Kiarabu, ila upande unaopakana na Iraq, kuna Iranian arabs. Na upande huo huo pia kuna masalia ya vizazi vya watumwa kama ambavyo kuna blacks kadhaa maeneo ya Basra kule Iraq.Mkuu,
Iran si Uarabuni lakini. WaIran si Waarabu.
BooksNaomba ushushe mkuu tafadhari
Watumwa wa fikra. Si unaona hata Zbar wanataka kurudisha utawala wa Sultan.Mmeshafika wavaa kibazi na vipedo 😀,kwanin hamtakagi kukubali kuwa waarabu waliwaua na kuwahasi watumwa waliopelekwa uarabuni?
Waarabu mpaka leo wanaona mtu mweusi mtumwa tu. Dada zetu wanavyotumikishwa kwa kazi za ndani huko Oman ila kwa sababu ni ndugu zetu katika imani hawatakiwi kusemwaUkatili wa waarabu hauna kifani. Hawashindwi kuwaua.
na kuwanyea juu.Waarabu mpaka leo wanaona mtu mweusi mtumwa tu. Dada zetu wanavyotumikishwa kwa kazi za ndani huko Oman ila kwa sababu ni ndugu zetu katika imani hawatakiwi kusema
lione hili jinga lilivyo ongoNafikiri waliwauza kwa wazungu wengi wao.
Na kidogo wakapelekwa uarabuni
Nimekaa nchi za kiarabu nyingi na nimewaona watu weusi na hata Viongozi wakubwa na hata kwenye majeshi wamo wengi tena wenye vyeo vikubwa sana mpaka marubani nimewaona
Nimefanya nao kazi
Ila nilikuja kushangaa nilipokutana na Mpalestina mweusi
Leo tunaona 13% ya population ya Marekani ikiwa ni ya watu weusi wengi wao kwa asilimia maradufu ni kizazi cha watumwa waliochukuliwa kutoka west africa.
Hivi wale waliokuwa wanatekwa wakina abushiri walipelekwa wapi na mark yao leo iko wapi.
Au walichukuliwa kwa uchache na kusambazwa maeneo tofauti ya waarabu?
Au walifutwa kama vile walivyofutwa wa pale argentina?
Weka ukweli mwenye akililione hili jinga lilivyo ongo
Angalia ulivyo na akili fupi kama nywele zakoweusi wote walihasiwa ili wasizaane