Hivi kile kizazi cha watumwa waliokuwa wanachukuliwa na waarabu kutoka Tanganyika kiliishia katika taifa/mataifa yapi?

Watu watembeemiji kama Tabora, kigoma , lindi ambapo waarabu waliishi wapi na walipokuja wazungu walikaa wapi, utagundua mwarabu alichanganyika na mzungu alijitenga kama kusoma huwezi basi tembea na fikilia
Ndio kinachowatesa wahindi na Boers. Boers walitaka wabaki pure kama walivyotoka ulaya. Wahindi nao walikuja kwa sera ya kuchuma pesa bila kuingiliana kiutamaduni na waafrika. Kama ulivyoandika mwarabu yeye alifika akawa sehemu ya mwafrika. Mpka kesho kumtenga mwarabu na mwafrika haiwezekani. Mwarabu kawa kabila la waafrika. Mwarabu hapa Tanzania ni sehemu ya mswahili.
Japokuwa wapo warabu walioendelea kujitenga na watu weusii.
Ukitaka kumrudisha mwarabu Asia ina maana kama nusu ya waafrika waende Asia. Mfano Sudan kask. Libya nk.
Sijajua mtazamo wa wengi wanawahesabu warabu waafrika kama walowezi au waafrika .
Je AU na viongozi wa Afrika huwa wanalionaje jambo hili.
Mimi huwa naona very comicated issue. MLOWEZI MWARABU KAJIWEKA MPAKA VIJIJINI KWETU HUKO NA WAAFRIKA WANAISHI NAE WALA HAWAMTILII SHAKA.
 
The same to jews.Warabu ba Waislael ni watu hatari. Wamemanipulate hadi ddefinition of their race. Hio definition lengo lake ni kujiunganisha na kila mtu/ race duniani.
Nilisoma mahala kuwa miarabu ni mizungu flan iliojipandikiza damu za watu weusi ndio maana ina hio rangi zisiofanana na wazungu. Ila ni mizungu ukiifuatilia vizalia long long time ago. Iweje mwarabu awe mweusi vile vile au mweupe au orange nk.
Mwarabu ni mtu asie eleweka kabisa.
 
Uarabu si race.

"It refers to those who speak Arabic as their first language. Arabs are united by culture and by history. Arabs are not a race".

 

Miaka ya mwanzoni mwa 90 nilikuwa nimetoka masomoni ulaya, Airport Dar ninachukuwa ndege ya ATC kuja huku Zanzibar. Kwenye check in , yule Dada wa ATC alianza kuwashughulikia wazungu walio nyuma yetu badala ya sisi waafrika tuliokuwa mbele. Nilimwendea nikampa shule vizuri kuwa mbona hata hapa kwetu tunadharauliana , akaona aibu sana
 
Hao wengi walikuwa madalali (Middle Men) Mashamba Makumbwa yaliyohitaji watumbwa ni huko USA (kwenye mashamba ya Pamba) au Caribbean Mashamba ya Miwa...
 
Achana na porojo za uongo za timu kobaz.
Ukweli upo kwenye bandiko hili hapa chini..
👇
 
Hivi wale waliokuwa wanatekwa wakina abushiri walipelekwa wapi na mark yao leo iko wapi.
Waarabu hawajawahi kuacha biashara yao ya jadi, yaani utumwa kama jamii zingine.

Bado wanafanya biashara ya kuuza na kununua Waafrika kama watumwa hata miaka hii ya sasa..
 
Naomba tu nikuulize umefika nch gani ya kiarabu
 
Waarabu na watu wa Asia kwa ujumla ni wakatili.
Waliua watumwa walipokuwa wazee. Aidha waliwahasi kabisa ili kupoteza watu weusi
 
Wengi waliishia Kuwait ndio maana hata Mfalme wao ni mweusi kama. Sisi
 
Haiti,na Marekani
 
Ok.
 
Hawajui kwamba ukienda Saudi Arabia hapo kama wewe ni mweusi wanajua kwamba wewe ni msaudi. Si ajabu akakuongelesha kwa kiarabu.
 
Ukifika Iraq mtu mweusi wanamuita Zenjbar (Zanzibar).....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…