Hivi kinachofanya Maria Sarungi na Fatma Karume wawe wanaharakati namna ile ni nini?

Hivi kinachofanya Maria Sarungi na Fatma Karume wawe wanaharakati namna ile ni nini?

Red Giant

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
15,657
Reaction score
20,967
Kwanza kabisa napenda kazi ya hawa watu. Tungekuwa na watu kumi kama hawa nchi ingekuwa inaenda kwenye mtaari mnyoofu kabisa na kufuata sheria.

Swali najiuliza nini kipo ndani yao kinawafanya wawe wanaharakati wajasiri namna ile?

Je, ni elimu waliyo pata. Kuna elimu mtu unapata inakufanya usiwe muoga wala usiogope kuhoji, elimu inayokufanya utambue haki zako na inayokufanya uzitetee.

Achana na hizi elimu za kuchapana fimbo, kukaripiana ambazo hata kuuliza swali darasani unaogopa.

Je, ni connections za wazazi wao ndiyo zinawafanya kuwa majasiri namna ile?

Au ni damu iliyo ndani yao, maana hawa wote ni machotara. Kuna wanavyotetea unaweza dhani kuna white savior complex😔.

Sasa ni vema kuwa na kizazi cha watu wanaojua haki zao na wanaoweza kuzitetea, nini kilichopoa kwa watu hawa ili tukiduplicate?
 
Utawala wa awamu ya 5 umewafanya wawe wanaharakati. Walitishiwa maisha yao, walitukanwa, walidhalilishwa, walilipuliwa ofisi kwa mabomu na kunyang'anywa leseni ya kufanya kila walichokisomea na kuwaingizia kipato.
 
Mfano yule mtoto wa kijazi alietimuliwa angekuwepo mzee hai angeguswa au kwanini hujiurizi membe hakuguswa hata enzi za magufuri,

Mkuu unaweza kuigusa familia ya nyerere kisa kuongea geuza na karume

Umemuona lissu saizi anaongelea nje angekuwa mtoto wa nyerere kuna hata angemgusa na zile risasi

Tanzania bila chimbuko nyuma wewe ni taka taka

La uwe chimbuko la pesa toka nchi inapata uhuru na ukoo wenu walishiriki kutoa misaada ya kifedha hapo hutaguswa

Unadhani profesa jay kukaa kimya hajui kuongea hana chimbuko la mizizi

Unadhani mbowe anaguswa kidogo kisa nini rejea chimbuko la ukoo wao

Humuoni lema saizi yupo wapi hana chimbuko


Narudia tena tanzania bila chimbuko wewe ni takataka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ata mwanaharakati anakuwa na specific cause anayosimamia na hana upande wa siasa.

Maria na Fatma sio wanaharakati ni wanasiasa ata hawajui wanasimamia nini. Kikubwa zaidi ni spoilt rich brats with too much time on their hands and mental case. If you ask me wanachekewa sana.

Unaweza kumuweka na Kigogo2014 on that list, yule ndio ana psychology issue kabisa he is obsessed with self grandiose; he can hack so what? But everyone knows much of the info anatumiwa tu.

Wao wana attack mtu yeyote kwenye macho yao ambae atoi support kwenye cause yao ya kipuuzi.
 
Ni watu tu kama haohao wanaowapinga kila Mmoja anapigania maslahi yake binafsi hii ya kujifanya kutetea haki,uhuru wa kujieleza sijui vyombo vya habari ni kuzugana tu.
 
Lands nchi yetu iko too backwards
Binafsi sioni Sana 'anything special'
Zaidi ya kuwa wanatimiza 'majukumu yao kama Raia wema' ..

Wote wanapaswa kuwa hivi...

Tunatakiwa wote kama Taifa tuwe na mapenzi na maadili mema na kuyatetea bila woga..
 
Huyu sarungi nishawahi tuma maombi sema hajajibu wazee sijui mistari haikumuingia
 
Back
Top Bottom