Mfano yule mtoto wa kijazi alietimuliwa angekuwepo mzee hai angeguswa au kwanini hujiurizi membe hakuguswa hata enzi za magufuri,
Mkuu unaweza kuigusa familia ya nyerere kisa kuongea geuza na karume
Umemuona lissu saizi anaongelea nje angekuwa mtoto wa nyerere kuna hata angemgusa na zile risasi
Tanzania bila chimbuko nyuma wewe ni taka taka
La uwe chimbuko la pesa toka nchi inapata uhuru na ukoo wenu walishiriki kutoa misaada ya kifedha hapo hutaguswa
Unadhani profesa jay kukaa kimya hajui kuongea hana chimbuko la mizizi
Unadhani mbowe anaguswa kidogo kisa nini rejea chimbuko la ukoo wao
Humuoni lema saizi yupo wapi hana chimbuko
Narudia tena tanzania bila chimbuko wewe ni takataka
Sent using
Jamii Forums mobile app