Mi binafsi sioni kama ni wanasiasa. Kwa sehemu kubwa naona wanapigania utawala wa sheria. Wana kitu kinachoeleweka wanakipigania.Ata mwanaharakati anakuwa na specific cause anayosimamia na hana upande wa siasa.
Maria na Fatma sio wanaharakati ni wanasiasa ata hawajui wanasimamia nini. Kikubwa zaidi ni spoilt rich brats with too much time on their hands and mental case. If you ask me wanachekewa sana.
Unaweza kumuweka na Kigogo2014 on that list, yule ndio ana psychology issue kabisa he is obsessed with self grandiose; he can hack so what? But everyone knows much of the info anatumiwa tu.
Wao wana attack mtu yeyote kwenye macho yao ambae atoi support kwenye cause yao ya kipuuzi.
Mkuu mbona hata humu JF hiyo tabia ipo Sana tuKuko serious kwa kutoa taarifa lakini si kuwa na mjadala mpana. Distraction, ushabiki na mizaha ni mingi. Kila mtu anataka ku-bon mot.
Definition ya mwanaharakati ni ‘Tundu Lissu’ kabla ya siasa. Unaona track record yake ya kupambana na migodi kuwa responsible kwa jamii inayozunguka na kutotaka kuona wananchi wanapokonywa haki zao in favour of big mining corporations. Na katika harakati zake alikuwa anapambana na serikali pamoja ni big corporates mahakamani, hakuwa na upande. Wao vita vyao na mwenzake jina limenitoka ilikuwa maslahi mapana ya wananchi wanaoishi kwenye maeneo ya migodi.Mi binafsi sioni kama ni wanasiasa. Kwa sehemu kubwa naona wanapigania utawala wa sheria. Wana kitu kinachoeleweka wanakipigania.
Sahihi kabisa..Definition ya mwanaharakati ni ‘Tundu Lissu’ kabla ya siasa. Unaona track record yake ya kupambana na migodi kuwa responsible kwa jamii inayozunguka na kutotaka kuona wananchi wanapokonywa haki zao in favour of big mining corporations. Na katika harakati zake alikuwa anapambana na serikali pamoja ni big corporates mahakamani, hakuwa na upande. Wao vita vyao na mwenzake jina limenitoka ilikuwa maslahi mapana ya wananchi wanaoishi kwenye maeneo ya migodi.
Mwanaharakati ana cause anayopigania, Fatma Karume mara anapigania katiba, kesho Zanzibar independence, mara media, keshokutwa ana ugomvi na mwanasiasa, mara ugomvi na chama cha siasa, mara kuonekana kwenye mkutano wa chama cha siasa, mara wakili wa mwanasiasa, anataka kuwa raisi TLS; she is just a confused old woman all over the place akilalama siku nzima.
Kuitwa mwanaharakati unakuwa na specific cause unayo lobby mfano ‘Dorris Mollel’ kwa sasa ni NGO lakini akianza ku lobby kuhusu issue zake kutaka kuona serikali inawekeza kwenye mazingira sahihi ya kuwapa chsnces za ku survive watoto njiti anakuwa mwanaharakati; one needs an agenda ambayo anaipigania.
Unapambania sheria tukuone huko vijijini unaongelea kesi za watu waliobambikiziwa mashitaka, upo unapambana sheria zibadilishwe au wahusika wachukuliwe hatua. Wewe unatafuta kiki za matukio ya kisiasa ni mwanasiasa tena a confused one; sio mwanaharakati.
Si unaona sasa kumbe ana maslahi yake.Sahihi kabisa..
Maria na Fatma sio wanaharakati. Maria ameanza kukosoa serikali baada ya kunyimwa tender za PR kwenye taasisi za serikali. Huko alikuwa alipiga pesa ndefu sana na alivyoingia Magu akakata huo mzizi ndio harakati zikaanza..
Kwangu Mimi ni bora ya Fatma kuliko Maria, Fatma hablock mtu, Maria ukimchallenge kidogo tu anakimbilia kukublock alafu anajiita mpigania uhuru wa kujieleza
[emoji107]wale ni watoto wakishua kama Donald trump
Wako chama gani?Ata mwanaharakati anakuwa na specific cause anayosimamia na hana upande wa siasa.
Maria na Fatma sio wanaharakati ni wanasiasa ata hawajui wanasimamia nini. Kikubwa zaidi ni spoilt rich brats with too much time on their hands and mental case. If you ask me wanachekewa sana.
Unaweza kumuweka na Kigogo2014 on that list, yule ndio ana psychology issue kabisa he is obsessed with self grandiose; he can hack so what? But everyone knows much of the info anatumiwa tu.
Wao wana attack mtu yeyote kwenye macho yao ambae atoi support kwenye cause yao ya kipuuzi.
Nafasi imejazwa tayari.Huyu sarungi nishawahi tuma maombi sema hajajibu wazee sijui mistari haikumuingia
ACT WazalendoWako chama gani?
Poor youHawa wote wamesoma nje kwenye elimu huku ni kukaririshana tu hakuna elimu ya maana
Same 2 dingi akoPoor you
Kafanya nn[emoji2955]Same 2 dingi ako
AlichofanyaKafanya nn[emoji2955]
Sawa[emoji846]Alichofanya
Duu haya bana. Na Fatuma karumeNafasi imejazwa tayari.
We ndio umesema ukweli fikirishiMfano yule mtoto wa kijazi alietimuliwa angekuwepo mzee hai angeguswa au kwanini hujiurizi membe hakuguswa hata enzi za magufuri,
Mkuu unaweza kuigusa familia ya nyerere kisa kuongea geuza na karume
Umemuona lissu saizi anaongelea nje angekuwa mtoto wa nyerere kuna hata angemgusa na zile risasi
Tanzania bila chimbuko nyuma wewe ni taka taka
La uwe chimbuko la pesa toka nchi inapata uhuru na ukoo wenu walishiriki kutoa misaada ya kifedha hapo hutaguswa
Unadhani profesa jay kukaa kimya hajui kuongea hana chimbuko la mizizi
Unadhani mbowe anaguswa kidogo kisa nini rejea chimbuko la ukoo wao
Humuoni lema saizi yupo wapi hana chimbuko
Narudia tena tanzania bila chimbuko wewe ni takataka
Sent using Jamii Forums mobile app