Hivi kiongozi bora ni mentality, uwezo na imani yake ndo vinampa ufanisi au chama alichomo?

Hivi kiongozi bora ni mentality, uwezo na imani yake ndo vinampa ufanisi au chama alichomo?

Tzmzalendo og

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2018
Posts
337
Reaction score
136
Mfano mzuri ni Mhe Lowassa. Alipokuwa CCM kuna waliompenda na kuna waliomkosoa kwamba ni fisadi mkubwa sanaa. Akabadili jezi ikawa vice versa.

Mfano wa pili ni Nyarandu vivo hvo amebasili jezi wafuasi wamebadir mioyo yao na waiomchukia pia wengi wameanza kumpenda.

Hadi huwa nafikiria TZ siasa tunachukulia ushabiki kama wa mpira (Morison akiwa Yanga na alipohamia Simba).

Naomba wenye maon au mawazo zaid wayatoe na vithibitisho (Tz mzalendo og)

1D75E2FC-27D1-4171-A9D6-3F1AF2D093B1.jpeg
 
Katika maisha ni vema kusimama katika kile unachoamini. Ukikumbwa na upepo wa wadlshangiliaji huna safari ndefu
 
Back
Top Bottom