Hivi kiongozi kufuata mkumbo wa dunia ni uongozi wa namna gani?

Hivi kiongozi kufuata mkumbo wa dunia ni uongozi wa namna gani?

Hero

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2010
Posts
3,932
Reaction score
2,839
Nimeshtuka sana baada ya mama yetu SSH kufanya maamuzi kwa kufuata mkumbo wa ulimwenguni wa kuchanja watu chanjo ya korona!

Seriously, kwa kuwa dunia inachanja bila kujali madhara wanayopata kwa chanjo ya majaribio, na ukweli kwamba haikingi kihivyo, mnatutoa kwenye reli salama tuliyoachiwa na Mh Dr JPM kweli na kutuingizia mavitu ya kipuuzi kuvuruga utu wetu!?

Taifa hili lilikuwa salama chini ya baba yetu Magufuli (may his precious soul rest in eternal peace and power amen 🙏)! Mama kaachiwa nchi anaanza kutuondoa kwenye reli kusikiliza wanaompa vijimisaada hii ikiwa kinyume kabisa na msimamo wa kitaifa uliowekwa na baba!
Hii maana yake nini....👇
Hosea 2 inaonya kitu...
"Wanaume, Ami na ndugu zenu wanawake , Ruhama.

2 Msihini mama yenu, msihini; kwa maana yeye si mke wangu, wala mimi si mume wake; na ayawekee mbali mambo ya uasherati wake yasiwe mbele ya uso wake, na mambo ya uzinzi wake yasiwe kati ya maziwa yake;

3 nisije nikamvua nguo zake akawa uchi, nikamweka katika hali aliyokuwa nayo siku ya kuzaliwa kwake, na kumfanya kama jangwa, na kumweka kama nchi kame, na kumfisha kwa kiu;

4 naam, sitawaonea rehema watoto wake; kwa maana ni watoto wa uzinzi.
5 Maana mama yao amezini; yeye aliyewachukua mimba ametenda mambo ya aibu; maana alisema, Nitafuatana na wapenzi wangu, wanipao chakula changu na maji yangu, sufu yangu na kitani yangu, mafuta yangu na vileo vyangu."....
 
Nimeogopa jinsi Tz ilivyopoteza ghafla back bone! Haiwezi tena kujisimamia yenyewe! Inafonza kama dodoki kila kitu waleta vijimisaada na uwekezaji wanavyotaka vije; maji, uchafu nk!?
Eti itakuwa hiari, seriously! Ndio mnamchemsha chura akiwa ndani ya maji ya baridi eeh🤔! Mungu anawaona I see!
 
Kama kuchanjwa ni hiari ya mtu wewe unaumia kwa sababu gani mkuu?
Kwani unataka tukatae kufata Mataifa mengine sis ni kisiwa kwamba we are isolated?
Kwamba we are not in a position kuwa infected na kupata severe disease?
Please kaa pembeni wewe usichomwe acha watakaotaka wachome.
Unavyoitoa kasoro chanjo wewe ulishawahi kutengeneza ipi????
 
Hebu acheni atuongoze kwa staili anayotaka, hata yule aliyemtangulia alikuwa na staili yake ya kuongoza. Alitengeneza siasa zake nazo zikampenda. Wakati mwingine uongozi ni utashi tu wa mtu japo katiba ipo
 
“WALIOCHOMA ASTRAZENECA YA INDIA HAWATAPEWA PASI YA KUINGIA ULAYA

Umoja wa Ulaya umesema unaitambua Chanjo ya #AstraZeneca toleo la Vaxzevria inayotengenezwa Ulaya

AstraZeneca ya India imetolewa kwa Nchi za Kipato cha Chini na Kati

Mtu yeyote aliyepewa chanjo ya AstraZeneca inayozalishwa na Taasisi ya Serum ya India hatastahiki kupata pasi hiyo- na hiyo inajumuisha raia wengi wa nchi za kipato cha chini na cha kati ambao walipatiwa chanjo zilizosambazwa na mpango wa COVAX uliofadhiliwa na WHO”

kumbuka kuwa Serikali ya Rais imeagiza Chanjo kupitia COVAX.
Bado Mchinga kupiga marufuku watu waliopewa Chanjo zingine tofauti na ya kwake kuingia China
Mwili 1 utapigwa Chanjo zaidi ya 3 ili kupata Pasi ya kuingia America, Ulaya Na China
 
Inamaana wewe tangu umezaliwa hujawahi kupata chanjo?

Kama uliwahi kupata chanjo then hakuna tofauti na sasa.
 
Umeona eeh! Tungewaacha kwanza wamalize majaribio yao ya chanjo kwanza, na kama kweli kuna Haja ya kuchanjwa ndii tutafute yetu au tuagize isiyo na agenda nyingine! Hata kuziita chanjo ni makosa! Ni genetic engineering ya wanadamu!
“WALIOCHOMA ASTRAZENECA YA INDIA HAWATAPEWA PASI YA KUINGIA ULAYA

Umoja wa Ulaya umesema unaitambua Chanjo ya #AstraZeneca toleo la Vaxzevria inayotengenezwa Ulaya



Mtu yeyote aliyepewa chanjo ya AstraZeneca inayozalishwa na Taasisi ya Serum ya India hatastahiki kupata pasi hiyo- na hiyo inajumuisha raia wengi wa nchi za kipato cha chini na cha kati ambao walipatiwa chanjo zilizosambazwa na mpango wa COVAX uliofadhiliwa na WHO”

kumbuka kuwa Serikali ya Rais imeagiza Chanjo kupitia COVAX.
Bado Mchinga kupiga marufuku watu waliopewa Chanjo zingine tofauti na ya kwake kuingia China
Mwili 1 utapigwa Chanjo zaidi ya 3 ili kupata Pasi ya kuingia America, Ulaya Na China
 
Kama kuchanjwa ni hiari ya mtu wewe unaumia kwa sababu gani mkuu?
Kwani unataka tukatae kufata Mataifa mengine sis ni kisiwa kwamba we are isolated?
Kwamba we are not in a position kuwa infected na kupata severe disease?
Please kaa pembeni wewe usichomwe acha watakaotaka wachome.
Unavyoitoa kasoro chanjo wewe ulishawahi kutengeneza ipi????
Anataka tuendelee kuuguza na kuzika kimya kimya yaani tufe na tai shingoni.

Concept moja ya kipumbavu sana. Na hashikiwi mtu bunduki na kuwekewa sindano mkononi.
 
Nimeshtuka sana baada ya mama yetu SSH kufanya maamuzi kwa kufuata mkumbo wa ulimwenguni wa kuchanja watu chanjo ya korona!
Seriously, kwa kuwa dunia inachanja bila kujali madhara wanayopata kwa chanjo ya majaribio, na ukweli kwamba haikingi kihivyo, mnatutoa kwenye reli salama tuliyoachiwa na Mh Dr JPM kweli na kutuingizia mavitu ya kipuuzi kuvuruga utu wetu!?
Taifa hili lilikuwa salama chini ya baba yetu Magufuli (may his precious soul rest in eternal peace and power amen 🙏)! Mama kaachiwa nchi anaanza kutuondoa kwenye reli kusikiliza wanaompa vijimisaada hii ikiwa kinyume kabisa na msimamo wa kitaifa uliowekwa na baba!
Hii maana yake nini....👇
Hosea 2 inaonya kitu...
"Wanaume, Ami na ndugu zenu wanawake , Ruhama.
2 Msihini mama yenu, msihini; kwa maana yeye si mke wangu, wala mimi si mume wake; na ayawekee mbali mambo ya uasherati wake yasiwe mbele ya uso wake, na mambo ya uzinzi wake yasiwe kati ya maziwa yake;
3 nisije nikamvua nguo zake akawa uchi, nikamweka katika hali aliyokuwa nayo siku ya kuzaliwa kwake, na kumfanya kama jangwa, na kumweka kama nchi kame, na kumfisha kwa kiu;
4 naam, sitawaonea rehema watoto wake; kwa maana ni watoto wa uzinzi.
5 Maana mama yao amezini; yeye aliyewachukua mimba ametenda mambo ya aibu; maana alisema, Nitafuatana na wapenzi wangu, wanipao chakula changu na maji yangu, sufu yangu na kitani yangu, mafuta yangu na vileo vyangu."....
Wewe mwenyewe unaufuata mkumbo wa DUNIA kwa KUANDIKA HUMU katika mitandao ya KIJAMII.....

Serikali zote zenye mifumo ya COMMON WEALTH zinafuata mkumbo wa KIDUNIA.....

Mifumo yote ya ulinzi na utawala inafuata MKUMBO WA KIDUNIA.....

TANZANIA NI MWANACHAMA WA UMOJA WA MATAIFA....usisahau hili!!!!

Korea Kaskazini HAWAFUATI SANA MKUMBO WA KIDUNIA......

#KaziIendelee
 
Umeona eeh! Tungewaacha kwanza wamalize majaribio yao ya chanjo kwanza, na kama kweli kuna Haja ya kuchanjwa ndii tutafute yetu au tuagize isiyo na agenda nyingine! Hata kuziita chanjo ni makosa! Ni genetic engineering ya wanadamu!
“WALIOCHOMA ASTRAZENECA YA INDIA HAWATAPEWA PASI YA KUINGIA ULAYA

Umoja wa Ulaya umesema unaitambua Chanjo ya #AstraZeneca toleo la Vaxzevria inayotengenezwa Ulaya



Mtu yeyote aliyepewa chanjo ya AstraZeneca inayozalishwa na Taasisi ya Serum ya India hatastahiki kupata pasi hiyo- na hiyo inajumuisha raia wengi wa nchi za kipato cha chini na cha kati ambao walipatiwa chanjo zilizosambazwa na mpango wa COVAX uliofadhiliwa na WHO”

kumbuka kuwa Serikali ya Rais imeagiza Chanjo kupitia COVAX.
Bado Mchinga kupiga marufuku watu waliopewa Chanjo zingine tofauti na ya kwake kuingia China
Mwili 1 utapigwa Chanjo zaidi ya 3 ili kupata Pasi ya kuingia America, Ulaya Na China

Wewe mwenyewe unaufuata mkumbo wa DUNIA kwa KUANDIKA HUMU katika mitandao ya KIJAMII.....

Serikali zote zenye mifumo ya COMMON WEALTH zinafuata mkumbo wa KIDUNIA.....

Mifumo yote ya ulinzi na utawala inafuata MKUMBO WA KIDUNIA.....

TANZANIA NI MWANACHAMA WA UMOJA WA MATAIFA....usisahau hili!!!!

Korea Kaskazini HAWAFUATI SANA MKUMBO WA KIDUNIA......

#KaziIendelee
Miezi mnne iliyopita hatukuwa tunajipendekeza hivi! Tulikuwa tunachuja yapi yanafaa na yapi ni bullsheet tuyakatae! Chanjo ni miongoni mwa bullsheet!
 
Chanjo sio lazima. Ni hiari yako.
Chanjo itakuja kwa wanaohitaji.

Endelea kujifukiza majani ya mpapai.
Hiyo ndio gear ya kuanzia mkuu! Hao wanaoiendesha dunia kwa vijimisaada wataongeza mashariti ya kuweka ulazima wa chanjo kwa watu wote ili mama upewe mpunga! Unafiki mama atafanyaje😜!
 
Anataka tuendelee kuuguza na kuzika kimya kimya yaani tufe na tai shingoni.

Concept moja ya kipumbavu sana. Na hashikiwi mtu bunduki na kuwekewa sindano mkononi.
Unachochanjwa unakijua lakini kabla ya kuita 'concept ya kip..)? Jitathmini!
 
Nimeshtuka sana baada ya mama yetu SSH kufanya maamuzi kwa kufuata mkumbo wa ulimwenguni wa kuchanja watu chanjo ya korona!

Seriously, kwa kuwa dunia inachanja bila kujali madhara wanayopata kwa chanjo ya majaribio, na ukweli kwamba haikingi kihivyo, mnatutoa kwenye reli salama tuliyoachiwa na Mh Dr JPM kweli na kutuingizia mavitu ya kipuuzi kuvuruga utu wetu!?

Taifa hili lilikuwa salama chini ya baba yetu Magufuli (may his precious soul rest in eternal peace and power amen [emoji120])! Mama kaachiwa nchi anaanza kutuondoa kwenye reli kusikiliza wanaompa vijimisaada hii ikiwa kinyume kabisa na msimamo wa kitaifa uliowekwa na baba!
Hii maana yake nini....[emoji116]
Hosea 2 inaonya kitu...
"Wanaume, Ami na ndugu zenu wanawake , Ruhama.

2 Msihini mama yenu, msihini; kwa maana yeye si mke wangu, wala mimi si mume wake; na ayawekee mbali mambo ya uasherati wake yasiwe mbele ya uso wake, na mambo ya uzinzi wake yasiwe kati ya maziwa yake;

3 nisije nikamvua nguo zake akawa uchi, nikamweka katika hali aliyokuwa nayo siku ya kuzaliwa kwake, na kumfanya kama jangwa, na kumweka kama nchi kame, na kumfisha kwa kiu;

4 naam, sitawaonea rehema watoto wake; kwa maana ni watoto wa uzinzi.
5 Maana mama yao amezini; yeye aliyewachukua mimba ametenda mambo ya aibu; maana alisema, Nitafuatana na wapenzi wangu, wanipao chakula changu na maji yangu, sufu yangu na kitani yangu, mafuta yangu na vileo vyangu."....
Magufur yupo kuzimu kama bado unamuota mh kaz ipo. Ww unaona swala la chanjo kwa anayetaka lina tatizo lipi nch baadh haziruhusu mtu kwenda pale kama huna chanjo sasa ulitaka asifate misimamo ya kimataifa ili iweje dah watu mnawaza kwel
 
Maisha watu hawafanani,kuna wanaofanya kazi na kulazimika kusafiri kwenda nchi za ulaya,unadhani tunapoelekea watu wataruhusiwa kuingia huko bila chanjo?so unataka watu kama hao waache kazi?kuna wanafunzi wana ndoto za kusoma australia na kwengineko ambapo mipaka imefungwa na ikifunguliwa tu cha kwanza ni chanjo,so hata kama wao wako tayari kuchoma ili waende kutimiza ndoto zao kwanini chanjo ije kuwa kikwazo eti kisa Tanzania haipo,
We kama hutaki jisemee wewe ila sio na wengine manake watu maisha hatufanani!
Tunapoeleka unaweza kuta hata we mtoa mada ukachoma kimyakimya chezea kupata fursa wewe,
 
Biashara ya watu hiyo?
Nimempenda Mama bureee,anajua.kucheza na vichwa vya watawala Wa hii dunia,big up Sasha,wachaga sisi Wa marangu tunaamini kwamba unapokwenda kuishi mahali ugenini jifanye bonge LA fala ili usome ramani.as long as vaccination is the matter of your choice,is up on you.
 
Back
Top Bottom