Hivi kitaalamu ipo vipi kuhusu madalali kuchukua pesa ya mwezi mmoja ya kodi

Kama hutaki kutumia huduma ya dalali, tafuta mwenyewe nyumba. Hujakatazwa.
 
Nimeshapangishwa nyumba nyingi sana na madalali, nilikuwa naishia kuwalipa 20 au 30 tu. Hawezi kunishtaki popote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…