Hivi kitatokea nini kama ukiamua kukaa siku nzima bila kumuongelea mtu?

Hivi kitatokea nini kama ukiamua kukaa siku nzima bila kumuongelea mtu?

Mkuu mengine hayazuiliki ,sasa kama kibu denis amewahi kusema kuwa"atahakikisha taifa stars inacheza kombe la dunia" unaachaje kumsema
Hapo bado yaliyowakuta wala mihogo jana nao tusiwaseme? How ?
Acha tuwaseme mkuu
 
Back
Top Bottom