Hivi Kiungo Zawadi Mauya Kuitwa Taifa Stars kumezingatia Ufundi au ni Kubalansi tu Usimba na Uyanga wetu ndani ya Taifa Stars?

Hivi Kiungo Zawadi Mauya Kuitwa Taifa Stars kumezingatia Ufundi au ni Kubalansi tu Usimba na Uyanga wetu ndani ya Taifa Stars?

Mauya siyo Yule wa zamani Kwa sasa ametulia Sana movement zake ni za kimpira kabisa nadhani kucheza na mukoko kumemfanya ajifunze vitu vzr sana

Yuko vzr sana kimbinu

Tatizo lake Tu ni Kasi ya uwanjani
 
Back
Top Bottom